Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,411
Mazoea ni kwamba, Ndoa za siku hizi zinavunjika mara tu baada ya kufungwa maana wanawake hawasemi idadi ya wanaume walio-fanyana nao ili mume mpya ajue reli anayopitia.
Ni muhimu mwanamke kumwambia mwanaume idadi ya wanaume alio tembea nao ili mume mpya aongeze juhudi kitandani, maana kila staili unayo ifanya mwanamke asipo ridhika huwa anakuwa anawakumbuka wale wa zamani namna walikuwa wanabinjuana kwa staili kuliko zako.
Nawasihi vijana wawe wabunifu kama Ronaldo, wasikae kama Lukaku.
ONYO: Mwanamke akikwambia alikuwa na 3 ongeza 3 nyingine iwe 33.
Ni muhimu mwanamke kumwambia mwanaume idadi ya wanaume alio tembea nao ili mume mpya aongeze juhudi kitandani, maana kila staili unayo ifanya mwanamke asipo ridhika huwa anakuwa anawakumbuka wale wa zamani namna walikuwa wanabinjuana kwa staili kuliko zako.
Nawasihi vijana wawe wabunifu kama Ronaldo, wasikae kama Lukaku.
ONYO: Mwanamke akikwambia alikuwa na 3 ongeza 3 nyingine iwe 33.