Mr Beach Boy
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 1,704
- 5,120
...
Wakuu habari Nina changamoto kubwa chuoni ambayo kuelezea hapa ni ngumu ila kwa maelezo ya watumishi wanasema Nina haki.
Ila idara kuu Naona wanataka kunipotezea tena mwakq mzima na ada ambayo sio chini ya laki nane.
Je naweza kupeleka changamoto Yangu sehemu Gani ili chuo kiadhibiwe?
Mkuu nashukuru sana kwa msaaada wakoChuo gan?
Kila chuo kina utaratibu wa kutoa malalamiko,
1. Kuna uongozi wa wanafunzi wa Chuo. Wafuate wakupe utaratibu
2.Andika barua kwa mkuu wa chuo au kaimu mkuu wa chuo, ili wakupe muda wa kukusikiliza hoja zako na wap waseme yao.
We matako niniMvactican unakumbuka hii
![]()
Ushauri kuhusu Elimu yangu
Nina bachelor degree in Gender and Development, nataka kwenda Dubai kutafuta maisha. Ila ndoto zangu nataka kwenda nchi za kiarabu kama njia ya kwenda ulaya... Hasa scandinavian countries, Sasa naomba kujua vyeti vyangu nibebe au niachane navyo!! Mana nasikia kule elimu yetu Haina Thamani...www.jamiiforums.com
Duuuh mkuu umemuwezaMvactican unakumbuka hii
![]()
Ushauri kuhusu Elimu yangu
Nina bachelor degree in Gender and Development, nataka kwenda Dubai kutafuta maisha. Ila ndoto zangu nataka kwenda nchi za kiarabu kama njia ya kwenda ulaya... Hasa scandinavian countries, Sasa naomba kujua vyeti vyangu nibebe au niachane navyo!! Mana nasikia kule elimu yetu Haina Thamani...www.jamiiforums.com
AmekuumbuaWe matako nini
Tulia we matako mchuziDu
Duuuh mkuu umemuweza
Kumbe huyu jamaa ni kiaz kikuu hivi
Mavi yake laiyon mkubwa yeye
Anatona sisi watoto
We matako ya fisiTulia we matako mchuzi
Tulia faka wewe tahira mkosa akili pungaWe matako ya fisi
Laiyon mkubwa wewe punguan
💯🎉🎊💥💢👽😻😼😽😿😾💥💨🧡💨💦🩵💯🎉🖤💕💌💓💙💖💕❤️❤️🗣️👣👁️👄👅👃👂🦻🦶👃🦠🦻🫶✊💪🫲👋🤚✊🖐️✋✊💪👍💙🖤💙🖤🎉🩶🤍❤️⚡