Unawafahamu Bongohodz

Unawafahamu Bongohodz

Jumlisha

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2022
Posts
1,989
Reaction score
3,984
Yeah habari wana JF

Hii ni special thread kwa Hawa jamaa bongohoodz pichaz

Kama ni mpenzi wa movie zenye miondoko ya crimes basi Hawa jamaa ni best kwa hapa bongo maan movie nyingi hapa ni drama tu crimes sio sana basi Leo nakutambulisha kwa bongohoodz

Crimes movie made in Tanzania

Story ni nzuri sana aki zinafutia kuangalia ukiaangalia movie moja tu jua utatafuta nyingine, binafsi nimewajua kitambo kidogo mpaka sasa sijajutia kuwafatilia movie zao zina mtindo wa maisha ya mtaani haswa Yan getto life humu utaona mtoto WA kishua sijuh blah blah huku utaona maisha ya geto tena uswahilini
Hawa jamaa ni sawa na zile movie tunaagalia za crimes au mafia movies with low budget ila jamaa ni noma
Hii ni appreciation kwao

Badhii ya movie zao
kichwa cha genge
Kisasi kitakatifu
Tatu chafu
Changudoa mchanaji
Mchepuko
Fisi weusi
Mikosi Mikasa makosa
Bongo na flava
Cheche kwenye wese
Almasi ya dhahabu
Tapeli dot com
Dili za michongo
Giza la mchana

Na nyinginezo, binafsi nawaeelewa sana hawa jamaa hasa kwa kuwa na mioondoko ya hip-hop kwenye haya matambala Yao kukutana na wasanii wa hip-hop ni kawaida sana mf nikkimbishi, one the incredible ndani ya bongo na flava, fid q, dogo janja, young killer,domo kaya, Mex Cortez etc.


Screenshot_20210709-222727.png
bb860d_4de319dfb2644aab9074411811656e60~mv2_d_2550_3420_s_4_2.jpg
bb860d_83aa60b103bf46809812ef826ac612ac~mv2_d_2480_3288_s_4_2.jpg

Screenshot_20210715-154731.png
 
Hiyo mchepuko ni noma hiyo sema jamaa wamekosa tu uwekezaji ila wanajitahidi sana kuigiza uhalisia wa maisha ya mtaani.

Nacho wapendea hao jamaa huwa hawataki kufanya igizo ndani ya igizo.

Mfano Movie inazungumzia ishu ya drugs na wahalifu walioshindikana mtaani zile script zote za ma gangster wakiwa wanatupiana maneno makali huwa yanatajwa kama yalivyo ili kusadifu uhalisia wa maisha ya kweli pindi inapotokea scenario kama hiyo.

Kwangu mimi haiwezi ku make sense naangalia movie au series ya watu wahuni wa mtaani wapo katikati ya ugomvi wameshikiana visu wanataka hadi kuuana wanatupiana maneno ya "mjinga wewe", "mpumbavu", "hauna akili"
 
Bongohoodz
Hiyo mchepuko ni noma hiyo sema jamaa wamekosa tu uwekezaji ila wanajitahidi sana kuigiza uhalisia wa maisha ya mtaani.

Nacho wapendea hao jamaa huwa hawataki kufanya igizo ndani ya igizo.

Mfano Movie inazungumzia ishu ya drugs na wahalifu walioshindikana mtaani zile script zote za ma gangster wakiwa wanatupiana maneno makali huwa yanatajwa kama yalivyo ili kusadifu uhalisia wa maisha ya kweli pindi inapotokea scenario kama hiyo.

Kwangu mimi haiwezi ku make sense naangalia movie au series ya watu wahuni wa mtaani wapo katikati ya ugomvi wameshikiana visu wanataka hadi kuuana wanatupiana maneno ya "mjinga wewe", "mpumbavu", "hauna akili"
Si ndy jamaa wako direct sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom