Michepuko sio Dili Baki njia kuu.kibonde's journeyIlikuwa kitambo nikiwa na mme wa mtu,, nilikuwa nafurahi vile jamaa alikuwa hana say kwangu ila nilisha achaga nimebaki njia kuu
Hahahah mkeo hawezi ifinyia kwa ndani ? hahahahah ndoa ndoanaKufinyiwa kwa ndani mkuu, unashusha wazungu huku unalia
upoupo hadi lin kiongz?
Nani amekuambia nimeoa? mchepuko ni side chick au mimi ndiyo nafeliHahahah mkeo hawezi ifinyia kwa ndani ? hahahahah ndoa ndoana
Uncle wewe hauna?Sredi za michepuko zimekuwa nyingi mno...muwe mnaweka basi na picha zao
Ok basi main chick anafel hajui jukumu lake na atasaidiwa Sana na maside chickNani amekuambia nimeoa? mchepuko ni side chick au mimi ndiyo nafeli
Is not a matther of know how, what matter's the difference charlieOk basi main chick anafel hajui jukumu lake na atasaidiwa Sana na maside chick
Kubali side chick anamzid main chick viwango,na ukijaoa huyo main utachepuka daima.hahahahahIs not a matther of know how, what matter's the difference charlie
Hawa main chicks wanajisahau sana kuji-update. Akizaa anaona ameshamalizaKubali side chick anamzid main chick viwango,na ukijaoa huyo main utachepuka daima.hahahahah
Kutokuwa na say kwako ilikuwa inakupa furaha eeIlikuwa kitambo nikiwa na mme wa mtu,, nilikuwa nafurahi vile jamaa alikuwa hana say kwangu ila nilisha achaga nimebaki njia kuu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ati Style za kizazi kipya???? Ndo zipi hizo aiseee maana sisi old school hatuzijuiZile style mbali mbali za KIZAZI KIPYA tu, matata sana!
ππππKufinyiwa kwa ndani mkuu, unashusha wazungu huku unalia
Afu nmeshagundua ktu,nikichepuka afu nkarudi kwa Mke napga vzur sana,kwahyo nkionaga kama stimu znapungua kwa Mke nachepuka Mara moja nikirud kwa Mke napga vzur mno