Unatumia Website gani kudownload music?

Unatumia Website gani kudownload music?

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
Mi natumia mp3juice.cc.

Ina files kubwa sana.

Je, unatumia website gani kudownload music? Hasa audio.

Let's share.
 
Zamani nilikuwa natumia musicpleer.com..iko poa

This time around nimeacha mambo ya kudownload natumia Deezer kustream ngoma kali ninazozitaka.
 
Hivi nikitaka ku download album ya nyimbo , natumia web gani?
 
Nilitaka kuitaja hiyo 3 juice hua natumia pia Tubidy I.O
 
Mi natumia mp3juice.cc.
Ina files kubwa sana.
Je, unatumia website gani kudownload music? Hasa audio.
Let's share.
Mp3juice bado ipo nilikuwa natumia kuna muda ilikuwa inazingua.

Mimi natumia App ya Fildo iko vizuri.
 
Nyimbo za Afrika zinapatika kupitia blog mbalimbali na sites ila za ulaya na marekani zinapatikana kupitia torrent sites mbalimbali pia kwa mfumo wa album au Playlist
 
Back
Top Bottom