Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,050
Aisee! Ukidate na vi slay Queen ambavyo unataka uvipost kwenye WhatsApp status ni mtihani kweli!hasa pale unapokuwa una Mademu watatu sasa ukijifanya unapost kizembe huku kwingine wanapindua meza kibabe!
Mimi mbinu nayotumia nawablock kwanza kwa muda hao wawili na mashemeji uchwara kisha ndio napost baada ya masaa kadhaa nafuta status kisha Nina unblock, kisha napiga tena wengine block ya muda kisha napost mwingine!
Mimi mbinu nayotumia nawablock kwanza kwa muda hao wawili na mashemeji uchwara kisha ndio napost baada ya masaa kadhaa nafuta status kisha Nina unblock, kisha napiga tena wengine block ya muda kisha napost mwingine!