Watumai hamjambo wanajamvi
Wakuu mara moja moja hua napania game hasa za away hivo hujikuta nafanya maandalizi ya show ya kibabe kwa kufanya yafuatayo:
1. Natafuna karanga robo/mbegu za maboga au korosho(hizi huifanya mechi ichezwe extra time)
2. Kulamba vijiko kadhaa vya asali/kula tikiti/ndizi(hizi huufanya mwili active mda wote wa game na hata ukimaliza huchuki mda kurudi uwanjani)
After hapo hupiga show ya kibabe na kuacha masimulizi kwa mhusika, je upande wako hufanya maandalizi gani? karibu kushare.
Wakuu mara moja moja hua napania game hasa za away hivo hujikuta nafanya maandalizi ya show ya kibabe kwa kufanya yafuatayo:
1. Natafuna karanga robo/mbegu za maboga au korosho(hizi huifanya mechi ichezwe extra time)
2. Kulamba vijiko kadhaa vya asali/kula tikiti/ndizi(hizi huufanya mwili active mda wote wa game na hata ukimaliza huchuki mda kurudi uwanjani)
After hapo hupiga show ya kibabe na kuacha masimulizi kwa mhusika, je upande wako hufanya maandalizi gani? karibu kushare.