Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
Ikitokea umeingia google na kuandika " how to know or how to tell if my computer has been hacked" utapata machapisho mbalimbali zaidi ya milion 35.7 juu ya kile ulichouliza ".
hapa Tunajifunza kuwa ni jinsi gani usalama wa mitandao ulivyo umuhimu kwenye karne hii ya Teknolojia.
Watu wengi wanasema kuwa inabidi huweke maneno ya ๐ฆ๐ถ๐ฟ๐ถ ๐บ๐ฎ๐ด๐๐บ๐ Ili kuwa salama Mtandaoni !! shida ni kuyambuka ndo changamoto maana yake watu wengi huamua kuhifadhi baadhi ya taarifa zao mbalimbali kwenye notebook au vikaratasi !!
Njia hii sio salama kabisa pia sio nzuri, ni Rahisi kudukuliwa. Kwaiyo nitumie njia gani kuwa salama ?? Fikiria kuhusu ๐๐๐ผ ๐ณ๐ฎ๐ฐ๐๐ผ๐ฟ๐ ๐ฎ๐๐๐ต๐ฒ๐ป๐๐ถ๐ฐ๐ฎ๐๐ถ๐ผ๐ป !!
๐ง๐๐ผ ๐ณ๐ฎ๐ฐ๐๐ผ๐ฟ๐ ๐ฎ๐๐๐ต๐ฒ๐ป๐๐ถ๐ฐ๐ฎ๐๐ถ๐ผ๐ป au unaweza kuita two ๐๐๐ฒ๐ฝ ๐ฎ๐๐๐ต๐ฒ๐ป๐๐ถ๐ฐ๐ฎ๐๐ถ๐ผ๐ป (๐ฎ๐๐) , ni njia itakayoweza kulinda taarifa zako za mtandaoni kwa kuongeza ulinzi zaidi wakati una log in kwenye mitandao yako ya kijamii. Teknolojia hii imekuja kuwasaidia watu kupewa msaada wa kiulinzi zaidi.
Unajua mara nyingi watu wengi wanatengeneza password (maneno ya Siri) ambayo ni dhaifu sana hivyo inakuwa ni Rahisi watu kudukuliwa.watu wengi wanatumia password za ๐ญ๐ฎ๐ฏ๐ฐ๐ฑ๐ฒ๐ณ๐ด au wanachanganya na majina yao hivyo ni Rahisi kudukuliwa ndani ya sekunde 140.
Wakati ukitumia ๐ฎ๐๐ฎ unakua salama, Ili kuingia kwenye akaunti yako lazima mtu haweke msimbo (codes) utakazo tumiwa wakati una jalibu ku log in kwenye kifaa chako.
Kwa sababu ikiwa mtu anayo password pamoja na username yako atahitaji pia kupata Code zilizokuwepo kwenye line yako Ili kuingia kwenye akaunti yako so inakua ngumu kuingia mpaka akupigie na kukuomba code.
Ukiwa unahitaji kuwa salama Mtandaoni ni wakati wa kutumia ๐ง๐๐ผ ๐ณ๐ฎ๐ฐ๐๐ผ๐ฟ๐ ๐ฎ๐๐๐ต๐ฒ๐ป๐๐ถ๐ฐ๐ฎ๐๐ถ๐ผ๐ป tuachie maoni akaunti yako unalinda kwa njia gani ?
hapa Tunajifunza kuwa ni jinsi gani usalama wa mitandao ulivyo umuhimu kwenye karne hii ya Teknolojia.
Watu wengi wanasema kuwa inabidi huweke maneno ya ๐ฆ๐ถ๐ฟ๐ถ ๐บ๐ฎ๐ด๐๐บ๐ Ili kuwa salama Mtandaoni !! shida ni kuyambuka ndo changamoto maana yake watu wengi huamua kuhifadhi baadhi ya taarifa zao mbalimbali kwenye notebook au vikaratasi !!
Njia hii sio salama kabisa pia sio nzuri, ni Rahisi kudukuliwa. Kwaiyo nitumie njia gani kuwa salama ?? Fikiria kuhusu ๐๐๐ผ ๐ณ๐ฎ๐ฐ๐๐ผ๐ฟ๐ ๐ฎ๐๐๐ต๐ฒ๐ป๐๐ถ๐ฐ๐ฎ๐๐ถ๐ผ๐ป !!
๐ง๐๐ผ ๐ณ๐ฎ๐ฐ๐๐ผ๐ฟ๐ ๐ฎ๐๐๐ต๐ฒ๐ป๐๐ถ๐ฐ๐ฎ๐๐ถ๐ผ๐ป au unaweza kuita two ๐๐๐ฒ๐ฝ ๐ฎ๐๐๐ต๐ฒ๐ป๐๐ถ๐ฐ๐ฎ๐๐ถ๐ผ๐ป (๐ฎ๐๐) , ni njia itakayoweza kulinda taarifa zako za mtandaoni kwa kuongeza ulinzi zaidi wakati una log in kwenye mitandao yako ya kijamii. Teknolojia hii imekuja kuwasaidia watu kupewa msaada wa kiulinzi zaidi.
Unajua mara nyingi watu wengi wanatengeneza password (maneno ya Siri) ambayo ni dhaifu sana hivyo inakuwa ni Rahisi watu kudukuliwa.watu wengi wanatumia password za ๐ญ๐ฎ๐ฏ๐ฐ๐ฑ๐ฒ๐ณ๐ด au wanachanganya na majina yao hivyo ni Rahisi kudukuliwa ndani ya sekunde 140.
Wakati ukitumia ๐ฎ๐๐ฎ unakua salama, Ili kuingia kwenye akaunti yako lazima mtu haweke msimbo (codes) utakazo tumiwa wakati una jalibu ku log in kwenye kifaa chako.
Kwa sababu ikiwa mtu anayo password pamoja na username yako atahitaji pia kupata Code zilizokuwepo kwenye line yako Ili kuingia kwenye akaunti yako so inakua ngumu kuingia mpaka akupigie na kukuomba code.
Ukiwa unahitaji kuwa salama Mtandaoni ni wakati wa kutumia ๐ง๐๐ผ ๐ณ๐ฎ๐ฐ๐๐ผ๐ฟ๐ ๐ฎ๐๐๐ต๐ฒ๐ป๐๐ถ๐ฐ๐ฎ๐๐ถ๐ผ๐ป tuachie maoni akaunti yako unalinda kwa njia gani ?