kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Mtafute shetani na uangalie sifa zake.
Kisha jitahidi kuziiga kwa bidii sana!
Umeshaona shetani akichorwa picha huwaje?Jibadili uwe na taswira yake.Utapendwa na kila mwanamke
Unajua zile sifa mbaya mfano ukatili,ulevi,uvutaji bangi na u gangster?Hakuna mwanamke havutiwi nazo!
Ukiwauliza watakuambia wanapenda mwanaume mpole muungwana lakini moyoni ni tofauti!
Akikutana na mtu katili mbabe huwa hawamwachi wala kumsaliti.Atampa sifa zote uzijuazo
Ni mwanamke kiumbe mtata ambaye ni vigumu kumwelewa.
Ukimpenda sana hujenga kiburi na dharau.Ukimfanyia ubabe unapata heshima na mapenzi hadi atayatangaza redioni!
Shetani ni rafiki yao mkubwa.Mwanamke yuko tayari kukuwishi siku ya birthday yako na kukuambia more money hata kama anajua wewe ni jambazi..
Hawaogopi fedha ya damu na watakutaka uwe mwanaume hata kama ni kwa kutoa kafara!
Wanawake ni viumbe pekee tulioonywa tuishi nao kwa akili.Na watu wenye akili wanapata shida sana kuishi na viumbe hawa!
Hawana msimamo.Wanabadilika muda wowote.Tena kwa sababu ndogo sana.
Ni wazuri wa kulipa kisasi.Na wakiamua huwa hawasamehi.Lazima watatekeleza.
Leo wapo kwenye harakati za kuupindua ulimwengu.Watafanikiwa maana kwa msaada wa rafiki yao mkubwa(shetani),wameanza kufanikiwa kudhoofisha kizazi cha wanaume.Sina uhakika tutaishia wapi!!
Kisha jitahidi kuziiga kwa bidii sana!
Umeshaona shetani akichorwa picha huwaje?Jibadili uwe na taswira yake.Utapendwa na kila mwanamke
Unajua zile sifa mbaya mfano ukatili,ulevi,uvutaji bangi na u gangster?Hakuna mwanamke havutiwi nazo!
Ukiwauliza watakuambia wanapenda mwanaume mpole muungwana lakini moyoni ni tofauti!
Akikutana na mtu katili mbabe huwa hawamwachi wala kumsaliti.Atampa sifa zote uzijuazo
Ni mwanamke kiumbe mtata ambaye ni vigumu kumwelewa.
Ukimpenda sana hujenga kiburi na dharau.Ukimfanyia ubabe unapata heshima na mapenzi hadi atayatangaza redioni!
Shetani ni rafiki yao mkubwa.Mwanamke yuko tayari kukuwishi siku ya birthday yako na kukuambia more money hata kama anajua wewe ni jambazi..
Hawaogopi fedha ya damu na watakutaka uwe mwanaume hata kama ni kwa kutoa kafara!
Wanawake ni viumbe pekee tulioonywa tuishi nao kwa akili.Na watu wenye akili wanapata shida sana kuishi na viumbe hawa!
Hawana msimamo.Wanabadilika muda wowote.Tena kwa sababu ndogo sana.
Ni wazuri wa kulipa kisasi.Na wakiamua huwa hawasamehi.Lazima watatekeleza.
Leo wapo kwenye harakati za kuupindua ulimwengu.Watafanikiwa maana kwa msaada wa rafiki yao mkubwa(shetani),wameanza kufanikiwa kudhoofisha kizazi cha wanaume.Sina uhakika tutaishia wapi!!