Unataka Kujua Mkeo amelala na Nani?

Unataka Kujua Mkeo amelala na Nani?

Status
Not open for further replies.
Na tukitaka kujua wewe umezini na nani tukumulike namna gani? Yaani mambo mengine ni kichekesho sana!!! Sasa ukishajua ili ufanyeje? Kweli mnajitafutia presha za bure. Hata akizini nje akirudi kwangu mimi ndiye mtawala na ndiye ninajulikana King nyie wengine wezi tu mnajifungia uchochoroni!!!
Zogwale: Hekima hizo, naamini wewe wa pili kumfuatilia Mfalme Suleimani!haha
 
Last edited by a moderator:
alilala na yule jirani yenu ambaye huwa anakusaidia kutoa matumizi pale unaposhindwa.
 
Zogwale: Hekima hizo, naamini wewe wa pili kumfuatilia Mfalme Suleimani!haha

Ha ha ha le Doctor, ninakuhakikishia ili mambo yaende katika maisha ni lazima uwe na assumptions, and other factors ceteris paribus. Yaani kama wakati wote unawaza mke au mume anatungua ninakuambia siku zote shetani anakuelekeza kwa mawazo hayo hayo tu na mwishowe ndoa itakuwa over rocks!!! Kwa mantiki hii siwezi kumwamini mke 100% na yeye asiniamini 100% ili likitokwa la kutokea nisipate kichaa (hapa nazungumzia kwa mahusiano). Ila generally, tuaminiane tu ili mambo yaende mkuu. Kuna rafiki yangu alikuwa ananyatia mke wake mwisho wake walifikia kuachana kwa kishindo, tena tu kwa sms aliyoikuta kwenye simu ambayo haikuwa na uthibitisho.
 
Ha ha ha le Doctor, ninakuhakikishia ili mambo yaende katika maisha ni lazima uwe na assumptions, and other factors ceteris paribus. Yaani kama wakati wote unawaza mke au mume anatungua ninakuambia siku zote shetani anakuelekeza kwa mawazo hayo hayo tu na mwishowe ndoa itakuwa over rocks!!! Kwa mantiki hii siwezi kumwamini mke 100% na yeye asiniamini 100% ili likitokwa la kutokea nisipate kichaa (hapa nazungumzia kwa mahusiano). Ila generally, tuaminiane tu ili mambo yaende mkuu. Kuna rafiki yangu alikuwa ananyatia mke wake mwisho wake walifikia kuachana kwa kishindo, tena tu kwa sms aliyoikuta kwenye simu ambayo haikuwa na uthibitisho.
Zogwale: Nimekusoma vizuri sana. Umeutaje ukweli wa kweli wewe ni mkweli aisee!
 
Last edited by a moderator:
Kama mkeo ana tabia ya kulala na wanaume tofauti na wewe...... Wala usiumie sana. Jitahidi ukimkuta anafanywa na mtu mwingine basi kaa pembeni ujifunze vizuri wakati wakiendelea kula raha je ni wapi huwa unakosea hadi apende kulala na wanaume wengine.
 
Kama mkeo ana tabia ya kulala na wanaume tofauti na wewe...... Wala usiumie sana. Jitahidi ukimkuta anafanywa na mtu mwingine basi kaa pembeni ujifunze vizuri wakati wakiendelea kula raha je ni wapi huwa unakosea hadi apende kulala na wanaume wengine.
sentojo:Sawa
 
Last edited by a moderator:
Kama mkeo ana tabia ya kulala na wanaume tofauti na wewe...... Wala usiumie sana. Jitahidi ukimkuta anafanywa na mtu mwingine basi kaa pembeni ujifunze vizuri wakati wakiendelea kula raha je ni wapi huwa unakosea hadi apende kulala na wanaume wengine.


Mwanadamu hatosheki, hata ukimpa nini, Milele hataridhika.....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom