Unataka Kujua Mkeo amelala na Nani?

Unataka Kujua Mkeo amelala na Nani?

Status
Not open for further replies.

Le Doctor

Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
48
Reaction score
11
Asante teknolojia.Asante Google.Nadhani hii itasaidia wengi.

Mke.jpg
 
Bullshit, kwani akilala na mtu kunashida gani, mbaya ni akifanywa.
Nani kakwambia wakienda kufanyana wanalala?

Laiti watu wote wangekuwa kama wewe kamanda.Dunia ingekuwa mahali salama sana pa kuishi
 
ungerekebisha kwanza huo ufundi wako ndo uanzishe uzi mkuu
lakini pia, sio salama kujua mkeo/mumeo kalala na nai
ni kujitafutia presha za miguu tuu
mi hata sitaki hiyo technolojia yako.
asante sana
ACADEMIA TODAY: Mkuu...tayari nilichokusudia nimerekebisha.Pamoja sana
 
Last edited by a moderator:
... mm mwanaume huwa naangalia mashavu ya ku.. na kuangalia dimension za ku... naijua kama roho yangu... na namchunga kama roho yangu... na nimweka sensors... kwa simu ndio akiguswa tu najua... I*m ahead of her na simwamini hata kidogo ila simwambii...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom