Unataka kujifunza programming?

language gani nzuri kushinda zote me ndo naanza na java nimeipenda sabab ukikosea inakuonyesha

Hakuna language nzuri kushinda zote, language zote zina strength na weakness zake, kwa hiyo kila language inatumika pale ambapo ina strength zaidi.

Na kusema java inakuonyesha ukikosea, language nyingi zina hii feature, ukicompile kama umekosea inakuonyesha wapi ime~fail. Kama unaongelea "Auto-complete" yaani ile ukiwa unaandika inakuonyesha na majina ya methods, hata languages nyingine zinayo, hiyo siyo feature ya language, ni environment tu unayotumia.

Hakuna kitu special kwenye Java ambacho huwezi fanya kwenye language nyingine, japo ndio, Java ni language moja nzuri sana na inatumika sana.
 
nashukuru mkuu wanipa mwangaza.
 
language gani nzuri kushinda zote me ndo naanza na java nimeipenda sabab ukikosea inakuonyesha


Mfano Intellisense ni moja ya feature iliyopo kwenye microsoft Visual studio IDE ambayo kwa sasa ina cover C++,Python,C# na VB.NET.
Inaenda mbali ina hadi Break Points ambazo zinakuonesha flow ya code na assignement ya values katika variables zako

Nafikiri hiyo sio fact labda utoe nyingine

Ila Java sio mbaya naona inaweza Cover windows,OS X na Android

Ila nimeona pia Microsoft kupitia C# wameinua kampuni ya Xamarin(cross platform app development environment kwa C#) Ambayo ina Cover OS karibu zote isipokua Linux peke yake i.e unaweza share code kwa app yako katika Windows Phone/Windows Store/Windows OS zote,Android,OS X na iOS nafikiri hii ni coverage kubwa sana sijui kama kuna lugha moja imeweza cover nyaja zote tajwa hapo juu.

Hii inamaanisha kama unataka develop iOS au OS X app hauitaji kujifunza Lugha nyingine i.e Objective C au kama unataka develop android app ukishajua C# hauitaji kujifunza Java tena.

Nilikua naangalia Evolve Xamarin 2016 leo ndo madogo niloyajua hayo itaendelea pia kesho

Xamarin Evolve 2016
 


shukrani sana mkuu. natapa concept nzuri unajua kuna watu wanamaringo sana kisa wameanza na language flanI ila hapa nakuwa free tuu najua izo ni mbwembwe.
 
Watu ambao hamna formal education ya hii kitu

Take your time and resources

Sites ambazo utakuta Video tutorials

1. edX -Hapa utapata free Online courses utalipia tu certificate incase unaiitaji

2.Udemy- Hii course nyingi za kulipia ukitaka kulipia ingia Google tafuta udemy coupons utapata course hata kwa 10$

Ila pia ukipendezwa na Course usiilipie kwanza ingia kat.cr utaikuta kama ni nzuri usipoiona hapo search torrent sites zote kupitia Torrentz Search Engine

kama upo determined with sharp mind mda si mrefu utakua ume master syntax ya unachotaka na kuweza tengeneza apps zisizoitaji business logic kubwa!

kuna sites kibao nyingine ni kama coursera.com,khanacademy.com

Kama wachangiagi wa hii thread wako serious anzieni hapo ili mleta thread kwa kuwa ana uelewa zaidi akija awakute na knowldge kidogo

kwa msaada zaid google Online Courses websites
 
Nipe procedures za kutengeneza app na video editing.NATANGULIZA SHUKRAN ZANGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…