king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,151
nipo dodm mjin,Mkuu upo Mkoa upi?
nipo dodm mjin,Mkuu upo Mkoa upi?
Sawa, ndg.nipo dodm mjin,
Mbona watu wanafanikiwaNi tz pekee mtu anatembea kutwa nzima juani anauza vitabu vya jinsi ya kutajirika ukiwa na mtaji mdogo
EEMC TAYOMI umenikumbusha Dkt Justine founder wa hiyo taasisi "change the youth to change the world"Umewahi shuhudia mtu ana kazi nzuri tu na inamlipa vizuri lakini anaamua kuacha?
Unafikiri kwanini anaacha na kuanza kufanya kitu kipya au mtu anaamua kustaafu kabla ya umri wa kustaafu?
Kuna nguvu kubwa zaidi ya kufanya kitu unachokipenda zaidi ya kazi na mshahara unaopata kwa kitu au kazi usiyoipenda.
Hakika kufanya kitu ukipendacho, utafanya kwa..
1. Ubora
2. Utajituma
3. Matokeo ni makubwa zaidi
Wengi walio amua kuacha kazi na kufanya vitu wavipendavyo hawajawahi shindwa, wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa zaidi ya kufanya kazi usiyoipenda.
Kuna kitu kinaitwa UNFAIR ADVANTAGE. Moja ya vitu hivi ni kustaafu mapema. Utapata ugumu lakini yapo mafanikio makubwa zaidi ya kusubiri kinua mgongo baada ya miaka 60.
Explore your potential gift uliyonayo, anza kuitendea kazi.
Robert Kiyosaki na rafiki yake Kim walistaafu wakiwa vijana na leo ni mabilionaire wakubwa.
Jipe moyo wa ushindi. Uinuke tena.
EEMC TAYOMI.
[HASHTAG]#IshiKwaMalengoTimizaMalengoYako[/HASHTAG] #
Mkuu upo wapi?? Inaonesha unaifahamu vyema huduma hiii, tuwasilianeEEMC TAYOMI umenikumbusha Dkt Justine founder wa hiyo taasisi "change the youth to change the world"
Hahaaaaa umeona eeeeh?Jk aliacha jeshi akiwa officer mkubwa tyu luten canal pamoja na kinana,kinana alikuwa canali jk kabna sana matako kwa kinana hahahaha leo kaacha historia na kamanda wake kinana
Sema me hata nikiwa luten usu(nyota moja) siaachi jeshi kazi kwa kukurupuka hata kwa panga.......labda private walinda mipaka kila siku guard aisee wna moyo!!!!
True manGood lesson for we young people.
Najua mkuu utaingiza habari za kina Qnet hapa nimeanza ku sense danger.Hahaaa Mkuu usijali zipo. Hutotamani tena kuajiriwa
Umewahi shuhudia mtu ana kazi nzuri tu na inamlipa vizuri lakini anaamua kuacha?
Unafikiri kwanini anaacha na kuanza kufanya kitu kipya au mtu anaamua kustaafu kabla ya umri wa kustaafu?
Kuna nguvu kubwa zaidi ya kufanya kitu unachokipenda zaidi ya kazi na mshahara unaopata kwa kitu au kazi usiyoipenda.
Hakika kufanya kitu ukipendacho, utafanya kwa..
1. Ubora
2. Utajituma
3. Matokeo ni makubwa zaidi
Wengi walio amua kuacha kazi na kufanya vitu wavipendavyo hawajawahi shindwa, wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa zaidi ya kufanya kazi usiyoipenda.
Kuna kitu kinaitwa UNFAIR ADVANTAGE. Moja ya vitu hivi ni kustaafu mapema. Utapata ugumu lakini yapo mafanikio makubwa zaidi ya kusubiri kinua mgongo baada ya miaka 60.
Explore your potential gift uliyonayo, anza kuitendea kazi.
Robert Kiyosaki na rafiki yake Kim walistaafu wakiwa vijana na leo ni mabilionaire wakubwa.
Jipe moyo wa ushindi. Uinuke tena.
EEMC TAYOMI.
[HASHTAG]#IshiKwaMalengoTimizaMalengoYako[/HASHTAG] #
Kim ni mke wa Robert Koyosaki...Kim kiyosaki ni mtoto wa Robert kiyosaki! Sio rafiki.au unamzungumzia Kim yupi?
Yes manGood lesson for we young people.
Hahaaaaa haaaahaa ni kusoma tuuu kwa faida zaidi ya keshoKwa utawala huu hamna haja ya kuacha kazi wala kusoma vitabu vya inspiration maana utaambulia majuto, hakuna ufanisi. tubaki tu kusoma vitabu vya dini ili vitupe ujasiri wa kuvumilia na kusubiria..
nk.
Duuuh kuna mtu hana Mungu Mkuu?? Wewe yako ni ipi?Definition ya success in life imekupita pembeni sana.... Muombe mungu wako akusaidie(Kama una mungu anyway)
Qnet hata siwajui. Tupige kazi tufikie ndoto zetuNajua mkuu utaingiza habari za kina Qnet hapa nimeanza ku sense danger.