Unataka kuacha Kazi?

Unataka kuacha Kazi?

Umewahi shuhudia mtu ana kazi nzuri tu na inamlipa vizuri lakini anaamua kuacha?
Unafikiri kwanini anaacha na kuanza kufanya kitu kipya au mtu anaamua kustaafu kabla ya umri wa kustaafu?

Kuna nguvu kubwa zaidi ya kufanya kitu unachokipenda zaidi ya kazi na mshahara unaopata kwa kitu au kazi usiyoipenda.

Hakika kufanya kitu ukipendacho, utafanya kwa..
1. Ubora
2. Utajituma
3. Matokeo ni makubwa zaidi

Wengi walio amua kuacha kazi na kufanya vitu wavipendavyo hawajawahi shindwa, wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa zaidi ya kufanya kazi usiyoipenda.

Kuna kitu kinaitwa UNFAIR ADVANTAGE. Moja ya vitu hivi ni kustaafu mapema. Utapata ugumu lakini yapo mafanikio makubwa zaidi ya kusubiri kinua mgongo baada ya miaka 60.

Explore your potential gift uliyonayo, anza kuitendea kazi.

Robert Kiyosaki na rafiki yake Kim walistaafu wakiwa vijana na leo ni mabilionaire wakubwa.

Jipe moyo wa ushindi. Uinuke tena.
EEMC TAYOMI.
[HASHTAG]#IshiKwaMalengoTimizaMalengoYako[/HASHTAG] #
EEMC TAYOMI umenikumbusha Dkt Justine founder wa hiyo taasisi "change the youth to change the world"
 
Jk aliacha jeshi akiwa officer mkubwa tyu luten canal pamoja na kinana,kinana alikuwa canali jk kabna sana matako kwa kinana hahahaha leo kaacha historia na kamanda wake kinana


Sema me hata nikiwa luten usu(nyota moja) siaachi jeshi kazi kwa kukurupuka hata kwa panga.......labda private walinda mipaka kila siku guard aisee wna moyo!!!!
 
Jk aliacha jeshi akiwa officer mkubwa tyu luten canal pamoja na kinana,kinana alikuwa canali jk kabna sana matako kwa kinana hahahaha leo kaacha historia na kamanda wake kinana


Sema me hata nikiwa luten usu(nyota moja) siaachi jeshi kazi kwa kukurupuka hata kwa panga.......labda private walinda mipaka kila siku guard aisee wna moyo!!!!
Hahaaaaa umeona eeeeh?
 
Kwa utawala huu hamna haja ya kuacha kazi wala kusoma vitabu vya inspiration maana utaambulia majuto, hakuna ufanisi. tubaki tu kusoma vitabu vya dini ili vitupe ujasiri wa kuvumilia na kusubiria..

nk.
 
Definition ya success in life imekupita pembeni sana.... Muombe mungu wako akusaidie(Kama una mungu anyway)
 
Umewahi shuhudia mtu ana kazi nzuri tu na inamlipa vizuri lakini anaamua kuacha?
Unafikiri kwanini anaacha na kuanza kufanya kitu kipya au mtu anaamua kustaafu kabla ya umri wa kustaafu?

Kuna nguvu kubwa zaidi ya kufanya kitu unachokipenda zaidi ya kazi na mshahara unaopata kwa kitu au kazi usiyoipenda.

Hakika kufanya kitu ukipendacho, utafanya kwa..
1. Ubora
2. Utajituma
3. Matokeo ni makubwa zaidi

Wengi walio amua kuacha kazi na kufanya vitu wavipendavyo hawajawahi shindwa, wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa zaidi ya kufanya kazi usiyoipenda.

Kuna kitu kinaitwa UNFAIR ADVANTAGE. Moja ya vitu hivi ni kustaafu mapema. Utapata ugumu lakini yapo mafanikio makubwa zaidi ya kusubiri kinua mgongo baada ya miaka 60.

Explore your potential gift uliyonayo, anza kuitendea kazi.

Robert Kiyosaki na rafiki yake Kim walistaafu wakiwa vijana na leo ni mabilionaire wakubwa.

Jipe moyo wa ushindi. Uinuke tena.
EEMC TAYOMI.
[HASHTAG]#IshiKwaMalengoTimizaMalengoYako[/HASHTAG] #


Kila siku Kiyosaki,Kiyosaki..Tafuteni hero mwingine aisee,huyu ni too much sasa!
 
Kim kiyosaki ni mtoto wa Robert kiyosaki! Sio rafiki.au unamzungumzia Kim yupi?
Kim ni mke wa Robert Koyosaki...
Wanachapisha vitabu vya financial literacy,Wana fanya biashara za Mafuta,Real Estate na Stocks.
Tafuta vitabu vyao..
1.Rich Dad Poor Dad
2.Cash flow Quadrant etc etc.
Tembelea website ya pdfdrive(dot)net ji registe uanze ku download load vitabu bureeee
 
Kwa utawala huu hamna haja ya kuacha kazi wala kusoma vitabu vya inspiration maana utaambulia majuto, hakuna ufanisi. tubaki tu kusoma vitabu vya dini ili vitupe ujasiri wa kuvumilia na kusubiria..

nk.
Hahaaaaa haaaahaa ni kusoma tuuu kwa faida zaidi ya kesho
 
Back
Top Bottom