Mbunge Luswe
Member
- Jan 23, 2018
- 56
- 23
Umewahi shuhudia mtu ana kazi nzuri tu na inamlipa vizuri lakini anaamua kuacha?
Unafikiri kwanini anaacha na kuanza kufanya kitu kipya au mtu anaamua kustaafu kabla ya umri wa kustaafu?
Kuna nguvu kubwa zaidi ya kufanya kitu unachokipenda zaidi ya kazi na mshahara unaopata kwa kitu au kazi usiyoipenda.
Hakika kufanya kitu ukipendacho, utafanya kwa..
1. Ubora
2. Utajituma
3. Matokeo ni makubwa zaidi
Wengi walio amua kuacha kazi na kufanya vitu wavipendavyo hawajawahi shindwa, wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa zaidi ya kufanya kazi usiyoipenda.
Kuna kitu kinaitwa UNFAIR ADVANTAGE. Moja ya vitu hivi ni kustaafu mapema. Utapata ugumu lakini yapo mafanikio makubwa zaidi ya kusubiri kinua mgongo baada ya miaka 60.
Explore your potential gift uliyonayo, anza kuitendea kazi.
Robert Kiyosaki na rafiki yake Kim walistaafu wakiwa vijana na leo ni mabilionaire wakubwa.
Jipe moyo wa ushindi. Uinuke tena.
EEMC TAYOMI.
[HASHTAG]#IshiKwaMalengoTimizaMalengoYako[/HASHTAG] #
Unafikiri kwanini anaacha na kuanza kufanya kitu kipya au mtu anaamua kustaafu kabla ya umri wa kustaafu?
Kuna nguvu kubwa zaidi ya kufanya kitu unachokipenda zaidi ya kazi na mshahara unaopata kwa kitu au kazi usiyoipenda.
Hakika kufanya kitu ukipendacho, utafanya kwa..
1. Ubora
2. Utajituma
3. Matokeo ni makubwa zaidi
Wengi walio amua kuacha kazi na kufanya vitu wavipendavyo hawajawahi shindwa, wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa zaidi ya kufanya kazi usiyoipenda.
Kuna kitu kinaitwa UNFAIR ADVANTAGE. Moja ya vitu hivi ni kustaafu mapema. Utapata ugumu lakini yapo mafanikio makubwa zaidi ya kusubiri kinua mgongo baada ya miaka 60.
Explore your potential gift uliyonayo, anza kuitendea kazi.
Robert Kiyosaki na rafiki yake Kim walistaafu wakiwa vijana na leo ni mabilionaire wakubwa.
Jipe moyo wa ushindi. Uinuke tena.
EEMC TAYOMI.
[HASHTAG]#IshiKwaMalengoTimizaMalengoYako[/HASHTAG] #
