Unatafuta kazi ??

Unatafuta kazi ??

Youngstunna

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2016
Posts
286
Reaction score
322
Tunakusadia kufanya maombi ya kazi



Huduma zetu



👉 kukuandalia Cv yenye muonekano wa kitaifa na kimataifa.



👉 Kukujulisha taarfa mbali mbali za nafasi za kazi kulingana na taaluma yako.



👉 Kufanya maombi ya kazi kwa niaba yako sehemu mbalimbali ndani ya mwaka mzima.



👉Kukujulisha hatua kwa hatua kuhusu maombi ya kazi tuliyoyafanya.



👉 kukupa taarfa juu ya nafasi za kazi zilizopatikana au kuitwa kwenye usahili.



( kwa gharama ya elfu 50 kwa mwaka mzima )
 

Attachments

  • 3951d248-ea73-4ae3-a795-39d6ae39f1e7.jpeg
    3951d248-ea73-4ae3-a795-39d6ae39f1e7.jpeg
    147.4 KB · Views: 21
  • 83b625bd-582c-485d-80df-a42357047001.jpeg
    83b625bd-582c-485d-80df-a42357047001.jpeg
    195.1 KB · Views: 21
Penye tatizo hatimaye umeajiri, am a firmer believer that shida ya binadamu you can capitalize on it,
You can capitalize or make money through human problems, needs, desire, pleasure , conflicts, depression, anxiety, death,life yaani binadamu amejaa fursa mno
 
Anayeandikia watu CV ili wapate ka yeye mwenyewe hana kazi ya kuajiriwa!
 
kukupa taarfa juu ya nafasi za kazi zilizopatikana au kuitwa kwenye usahili.
Nafikiri hii ndio ilipaswa kuwa Marketing tips yenu(BASE) au kibiashara tunasema mtego wa kunasa wateja, Mnapaswa kwanza kutafuta hizo kazi na kisha kwenye issue ya maombi ndio mnajiweka mtu kati.

Yoyote ambaye atakuwa tayari kuomba hizo kazi, hapo sasa ndio mtaingiza swala la mnaweza kumuandalia CV na kumuombe hio kazi endapo akalipia 50k, then mnaongeza mbwembwe zingine za subscription.

Mtu hawezi kuwa JOBLESS halafu alipie 50k atengenezewe CV ikae ghetto. ILA kama kutakuwa na kazi za kuomba(alizoona kwenu), basi kwake itakuwa ni rahisi kuwapa hio 50k ili muandae CV yake na mtume huko anakotakiwa kuomba kazi.

Just an advice.
 
Nafikiri hii ndio ilipaswa kuwa Marketing tips yenu(BASE) au kibiashara tunasema mtego wa kunasa wateja, Mnapaswa kwanza kutafuta hizo kazi na kisha kwenye issue ya maombi ndio mnajiweka mtu kati.

Yoyote ambaye atakuwa tayari kuomba hizo kazi, hapo sasa ndio mtaingiza swala la mnaweza kumuandalia CV na kumuombe hio kazi endapo akalipia 50k, then mnaongeza mbwembwe zingine za subscription.

Mtu hawezi kuwa JOBLESS halafu alipie 50k atengenezewe CV ikae ghetto. ILA kama kutakuwa na kazi za kuomba(alizoona kwenu), basi kwake itakuwa ni rahisi kuwapa hio 50k ili muandae CV yake na mtume huko anakotakiwa kuomba kazi.

Just an advic

Nafikiri hii ndio ilipaswa kuwa Marketing tips yenu(BASE) au kibiashara tunasema mtego wa kunasa wateja, Mnapaswa kwanza kutafuta hizo kazi na kisha kwenye issue ya maombi ndio mnajiweka mtu kati.

Yoyote ambaye atakuwa tayari kuomba hizo kazi, hapo sasa ndio mtaingiza swala la mnaweza kumuandalia CV na kumuombe hio kazi endapo akalipia 50k, then mnaongeza mbwembwe zingine za subscription.

Mtu hawezi kuwa JOBLESS halafu alipie 50k atengenezewe CV ikae ghetto. ILA kama kutakuwa na kazi za kuomba(alizoona kwenu), basi kwake itakuwa ni rahisi kuwapa hio 50k ili muandae CV yake na mtume huko anakotakiwa kuomba kazi.

Just a

Nafikiri hii ndio ilipaswa kuwa Marketing tips yenu(BASE) au kibiashara tunasema mtego wa kunasa wateja, Mnapaswa kwanza kutafuta hizo kazi na kisha kwenye issue ya maombi ndio mnajiweka mtu kati.

Yoyote ambaye atakuwa tayari kuomba hizo kazi, hapo sasa ndio mtaingiza swala la mnaweza kumuandalia CV na kumuombe hio kazi endapo akalipia 50k, then mnaongeza mbwembwe zingine za subscription.

Mtu hawezi kuwa JOBLESS halafu alipie 50k atengenezewe CV ikae ghetto. ILA kama kutakuwa na kazi za kuomba(alizoona kwenu), basi kwake itakuwa ni rahisi kuwapa hio 50k ili muandae CV yake na mtume huko anakotakiwa kuomba kazi.

Just an advice.
Tunamsaidia ku apply kazi kwa MBARAKA waje ahsante kwa ushauri lakini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom