major mkandala
Member
- Mar 6, 2010
- 74
- 0
Enyi wazazi
angalien na familia zenu ona sasa
kun familia hapa jirani imeleta kizaaza
baba amekuwa akiacha hela ugali mchicha yeye
hali anarudi usiku..kila siku mama yakamshinda
kapata wapi hela hataki kusema...kaamua kupika kukumzima wa kienyeji na wali wako 3 tu...mzee kafikria kuhoji alipollala saa saba akafumba macho aanze kuuliz amama kasema ajibu mpaka asb..asbh ya leo tunasiki matusi mara kelele baba kamchapa mama bakora mama kaanza kufurumusha glass zote ndani amrushie mzee katoka damu inamwagika kama yuko siku zake...je ni haki kuuliza??
angalien na familia zenu ona sasa
kun familia hapa jirani imeleta kizaaza
baba amekuwa akiacha hela ugali mchicha yeye
hali anarudi usiku..kila siku mama yakamshinda
kapata wapi hela hataki kusema...kaamua kupika kukumzima wa kienyeji na wali wako 3 tu...mzee kafikria kuhoji alipollala saa saba akafumba macho aanze kuuliz amama kasema ajibu mpaka asb..asbh ya leo tunasiki matusi mara kelele baba kamchapa mama bakora mama kaanza kufurumusha glass zote ndani amrushie mzee katoka damu inamwagika kama yuko siku zake...je ni haki kuuliza??