unapenda kufuga mnyama gani(pet)

unapenda kufuga mnyama gani(pet)

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,377
linapokuja swala la kufuga mnyama nyumbani kama nyau au mbwa au wengi wetu tuna tofauti mbalimbali zinazotufanya tumpende mnyama flani kuzidi wengine binafsi napenda kufuga paka wewe je
 
njiwa nawapenda sana,tena kwa sasa natafuta wale njiwa wa indonesia wenye mikia kama tausi.
 
Nimefuga mbwa,samaki,sungura,kuku,njiwa,ila wote nimewapenda but sungura ni mzuri tatizo ukimtoa tu kwenye banda anasahau kurudi nyumbani
 
sungura.....

Mi ntafuga mbwa makusudi kabisa nije kwako kuwinda! lol..

mbwa.jpg
 
Kuku........Ili akiniuzi........namgeuza asusa..........

paka sasa au umbwa........mweeee........bora hata sungura.........utamuweka spices........
 
Mimi sina na hata sitarajii.

Ingekuwa gadgets ni pets, nadhani ningesema iphone 5s
 
nataman niwafuge wabunge na wanajeshiii

Ningepata faida sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom