Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 925
- 548
Unapata zawadi gani pale ambapo unacheza na hisia za mtu. Yeye anakuwa amejitolea kwa moyo wake wote kuwa na wewe but unacheza na hisia zake!! Unafaidika na nini?
Magonjwa mengine kama madonda ya tumbo, kuishiwa nguvu katika mifupa hata presha pia hupatikana na kucheza na hisia za watu.. Reaction yako katika expectations zao unakuwa umewaumiza katika roho na nafsi...
Je utalipia bill za matibabu yao au utalipia gharama za kuwaumiza?
Kuna watu wanatarajia wewe uwe bora but unawaangusha.
Unaweza usiwaone na ukaamuwa kukata tamaa but ule muda unakata tamaa ndipo muda ambapo watu hutaka kukujua na kuhitaji huduma yako ya kile ulichokuwa unafanya, you let them down for feeling sorry to yourself because you can't bear the pain. That time is like you're facing death and you find a way to survive, but you survived by choosing to give up hujataka kuchukua majukumu.
Lakini umepata zawadi gani kwa kuwaangusha wale waliokuwa wanakutegemea utafanya zaidi? Unajisifia nini kwa kubadilisha maisha ya watu na kuwa mabaya kisa tu uliwadanganya utamuoa au utaolewa naye!?
Huyo mtu kaishi maisha yake akikuami i but umeumiza hisia zake.. Pengine umemuachia magonjwa au mtoto na kumkimbia. Umembadilisha mtu mzuri kuwa mbaya sasa unamuita malaya iliuonekane innocent. Faida gani unapata?
Ulisema utabadilika lakini ukaenda mwaka wa kwanza, pili, na huu wa tatu bado uko vilele na tabia yako
Magonjwa mengine kama madonda ya tumbo, kuishiwa nguvu katika mifupa hata presha pia hupatikana na kucheza na hisia za watu.. Reaction yako katika expectations zao unakuwa umewaumiza katika roho na nafsi...
Je utalipia bill za matibabu yao au utalipia gharama za kuwaumiza?
Kuna watu wanatarajia wewe uwe bora but unawaangusha.
Unaweza usiwaone na ukaamuwa kukata tamaa but ule muda unakata tamaa ndipo muda ambapo watu hutaka kukujua na kuhitaji huduma yako ya kile ulichokuwa unafanya, you let them down for feeling sorry to yourself because you can't bear the pain. That time is like you're facing death and you find a way to survive, but you survived by choosing to give up hujataka kuchukua majukumu.
Lakini umepata zawadi gani kwa kuwaangusha wale waliokuwa wanakutegemea utafanya zaidi? Unajisifia nini kwa kubadilisha maisha ya watu na kuwa mabaya kisa tu uliwadanganya utamuoa au utaolewa naye!?
Huyo mtu kaishi maisha yake akikuami i but umeumiza hisia zake.. Pengine umemuachia magonjwa au mtoto na kumkimbia. Umembadilisha mtu mzuri kuwa mbaya sasa unamuita malaya iliuonekane innocent. Faida gani unapata?
Ulisema utabadilika lakini ukaenda mwaka wa kwanza, pili, na huu wa tatu bado uko vilele na tabia yako