Kazi ipo.EATV inaweza kuwa chombo kizuri cha kuwahabarisha vijana kuchagua viongozi waliobora.Na hata kuwashawishi vijana wenye maono ya UTAIFA kwanza kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kugombea uongozi bila kujali itikadi za vyama vyao,kabila wala dini zao.Wangetakiwa waanze sasa!