kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,173
- 15,872
- Thread starter
-
- #81
Pesa tunawapa Sana tu ,,, plus outing za kutosha ,,, tatzo ni pale unataka tubagain ,,,nikibagain ukinipa nikitoka hapo tusijuane, na usinililie shida, Si uliniuzia ? Nikikuhitaji nitakutafuta ! Ndivyo mnavyotaka ?Ukweli nmekwambia
Kwani we hua unakutana na malayer au huko na mmja wa kueleweka?!Pesa tunawapa Sana tu ,,, plus outing za kutosha ,,, tatzo ni pale unataka tubagain ,,,nikibagain ukinipa nikitoka hapo tusijuane, na usinililie shida, Si uliniuzia ? Nikikuhitaji nitakutafuta ! Ndivyo mnavyotaka ?
Ata hao wanaojipanga kuuza nawao tunaishi nao mitaani tu kama wanawake wengi, wao waneamua kuuza usiku na wengine wameamua kufanya biashara mchana, sawa na wauza Chipsi kuna wanaofungua biashara asubuhi na kuna wanao fungua jioni lakini lengo lao moja tu kuuza.Hao wa ivo Ni wale Malaya wanaojipanga kuuza rasmi, mm namaanisha Hawa wa kawaida tunaishi nao mitaani
Namaanisha Hawa Hawa wa mtaan na sio malayerKwani we hua unakutana na malayer au huko na mmja wa kueleweka?!
Kwa sabb kwa mtu anaesoma vzuri na kuelewa madaa yako inaonyesha dhahiri hua unanunua na sio tofauti na hapo.
Hatari sanaaAta hao wanaojipanga kuuza nawao tunaishi nao mitaani tu kama wanawake wengi, wao waneamua kuuza usiku na wengine wameamua kufanya biashara mchana, sawa na wauza Chipsi kuna wanaofungua biashara asubuhi na kuna wanao fungua jioni lakini lengo lao moja tu kuuza.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kitaa hakisomekiKweli mtaani pagumu
Kwahiyo nimuoe kwahuruma za kumrahisishia maishaJibu lipo hapo kwenye "mtaani pagumu" kama unacho mpe tu au muoe kabisa
Mengi ambayo hata ukiyakosa hufi na hupungukiwi na kitu. Punguza tamaa chiefUkiwa bahili utakosa mengi
๐๐๐we mwenyewe mbona hujishangai?? unataka uchi wa watu gafla
Kuna kaukweli flaniAll women are for sale the question is but price
Ndo auze ?we mwenyewe mbona hujishangai?? unataka uchi wa watu gafla
sema neno mama, ndo Hali ya maisha imekuwa hivyo ?
eeh asa afanyaje??Ndo auze ?
๐๐Nitarudisema neno mama, ndo Hali ya maisha imekuwa hivyo ?
Malayer ina maan wao hawaishi mitaani?!Namaanisha Hawa Hawa wa mtaan na sio malayer