Unanipa shilingi ngapi?

Unanipa shilingi ngapi?

kitalembwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2014
Posts
6,171
Reaction score
15,862
Au unanipa zawadi gani? Ndio msemo maarufu wa wadada siku hizi, ukimzoea kidogo tu, ukaonyesha interest ya kutaka utelezi utakumbana na hiyo kauli, plus vibomu visivyoisha. Mtaaani pagumu Sana wanauza indirect.

Binafsi nikikutana na mdada wa hivi hata Kama mzuri Sana huwa nampotezea haraka Sana, labda Nina tatizo sijawahi kwenda kununua wale wanaojipanga.

Mwanaume unaejielewa huwezi kulala na mwanamke usimpe chochote kitu, au ile umezoeana nae huduma anakupa lazima uwe walau unamsapoti sapoti, hii ananiambia kabisa tubagain Kama nanunua nyanya imenishinda!
 
Jibu lipo hapo kwenye "mtaani pagumu" kama unacho mpe tu au muoe kabisa
Kumpa sio hoja,,, tatizo ndo mpo kwenye makubaliano anakuambia utanipa sh ngapi ? Kwani Ni mahindi unaniuzia ? Mm Ni mwanaume, wajibu wa kumpa mwanamke hela najua, hii ya kusema nipe kiasi hiki inakata Sana stimu
 
Au unanipa zawadi gani? Ndio msemo maarufu wa wadada siku hizi, ukimzoea kidogo tu, ukaonyesha interest ya kutaka utelezi utakumbana na hiyo kauli, plus vibomu visivyoisha. Mtaaani pagumu Sana wanauza indirect.

Binafsi nikikutana na mdada wa hivi hata Kama mzuri Sana huwa nampotezea haraka Sana, labda Nina tatizo sijawahi kwenda kununua wale wanaojipanga.

Mwanaume unaejielewa huwezi kulala na mwanamke usimpe chochote kitu, au ile umezoeana nae huduma anakupa lazima uwe walau unamsapoti sapoti, hii ananiambia kabisa tubagain Kama nanunua nyanya imenishinda!
Dawa yao waambie mie sijatahiriwa, utawaona wenyewe wakijisogeza kando
 
Tena akipiga kizinga anakua anaulizia kama marejesho ya vikoba na ana kununia usipo mpa alichotaka, hawa mabinti wa sasa ni balaa zito ndio maana ma single mother Wana ongezeka Kila siku
Kuna huyo mmoja nilipiga chini,,,ukimiahidi kitu, mfano kesho mchana ntakutumia kiasi kadhaa, kesho ikifika hizo simu zitapigwa utafikiri Ni Deni ! Ikotokea upo busy atakusumbua mpaka ukome, nilimtolea uvivu nikapiga chini
 
Back
Top Bottom