Kijamba Koti
Member
- Jun 1, 2012
- 12
- 0
Haya haya wadau,nimeamua kuleta mada hii baada ya kujitokeza kaubishani kidogo somewhere juu ya nani zaidi katika sekta ya ICT kati ya IT geek,injinia wa computer,mwanasayansi wa computer au injinia wa mawasiliano(telecom)!Kama wewe ni mmoja wapo hapo au una mchango wowote,hebu funguka with SCHOOLED FACTS and tell me who's the best and why?