Unakumbuka wapi ukiona hii kitu

iMind

Platinum Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
3,203
Reaction score
5,405
Hii kitu ilikuwa ina pendeza aisee...Yaani ukitinga na shati la Juliana..unaenda mnadani, saaafiii.
 

Attachments

  • 2.jpg
    15.7 KB · Views: 1,094
Hahahahaaaaaa daaaah!

Umenikumbusha mbaaaaali sana aisee.

We have really come a long way.
 
DH===Dingi Hanauwezo, enzi hizooooo, japo sasa imerudi kivingine.
 
Kwetu vilipatikana BORA.kipindi cha Asante nyerere.


swissme.
 
Hii kitu ilikuwa ina pendeza aisee...Yaani ukitinga na shati la Juliana..unaenda mnadani, saaafiii.

Enzi izo ukiwa na hiyo we ndiyo wa maana sana ,,,,,,dingi hana uwezo
 
Kama ikichafuka, ukishafua kabla haijakauka unaing'arisha na chaki au kipande cha muhogo mweupe uliokauka
 
Enzi za "Chachacha" au "Saa sita utanikoma"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…