Unakumbuka Tulivyoachana?

Unakumbuka Tulivyoachana?

taja ya kwako kwanza maana me nna uhakika asilimia mia.niambie nikikupa second chance hutaniumiza tena

Siitaki 2nd chance ila nataka kurekebisha muda niokupotezea kama nimekuathiri
 
Unanikumbusha siku nilipompigia bf wangu na kumwambia mie na wewe bhaaas! wakati huo niko chuo hakuamini akanifata kuhakiki nikamwambia simtanii, jamaa alitoa machozi hivi hadi kwenye mashavu akatoa leso akafuta, daah nilimuonea huruma. Ila mapenz kitu cha ajabu wala sikumsikiliza nikaendelea na penz langu jipya kwa raha zangu. Mapenz kitu cha ajabu sana.
 
Unanikumbusha siku nilipompigia bf wangu na kumwambia mie na wewe bhaaas! wakati huo niko chuo hakuamini akanifata kuhakiki nikamwambia simtanii, jamaa alitoa machozi hivi hadi kwenye mashavu akatoa leso akafuta, daah nilimuonea huruma. Ila mapenz kitu cha ajabu wala sikumsikiliza nikaendelea na penz langu jipya kwa raha zangu. Mapenz kitu cha ajabu sana.

Sakapal,.. mbona unanitisha hivyo lol..... yani uliamua tu kumwambia hivyo du isije siku nami nikapigiwa cm hivyo lol..mapenzi haya mbona yananitisha sasa!!
 
Sakapal,.. mbona unanitisha hivyo lol..... yani uliamua tu kumwambia hivyo du isije siku nami nikapigiwa cm hivyo lol..mapenzi haya mbona yananitisha sasa!!

Usiogope Aggrey86 hakuna anayependa yamkute haya hata mie wakati huo nilikuwa nimeshapagawa na penz jipya na wala chozi la jamaa halikunistua nirudi nyuma. Ukiwa kwenye dimbwi la mapenz unaweza kufanya kitu cha kutisha zaidi ya nilichokifanya mimi. Pamoja na kuwa nilikuwa na sababu ingine ila siku ya siku nilitumia simu tu kuvunja mahusiano, hakuamini kabisaa. Mapenz mabaya, mapenz yanarun dunia.
 
Usiogope Aggrey86 hakuna anayependa yamkute haya hata mie wakati huo nilikuwa nimeshapagawa na penz jipya na wala chozi la jamaa halikunistua nirudi nyuma. Ukiwa kwenye dimbwi la mapenz unaweza kufanya kitu cha kutisha zaidi ya nilichokifanya mimi. Pamoja na kuwa nilikuwa na sababu ingine ila siku ya siku nilitumia simu tu kuvunja mahusiano, hakuamini kabisaa. Mapenz mabaya, mapenz yanarun dunia.
Nadhani alishapata ishara kuwa mapenzi hayaendi kama mwanzo. manake ukipata kipya lazima upande mwingine ulegee. na lazima alikutenda.
kupenda nako sometimes ni matatizo. njemba inaangusha kilio!!!! Duuh
 
daaah watu wamepoteza pesa, kazi,biashara nk jamaaa unalalamika na kujutia kwa sababu ya kupoteza demu? daaaaah kweli hii dunia tupo tofauti kha...?
 
Nadhani alishapata ishara kuwa mapenzi hayaendi kama mwanzo. manake ukipata kipya lazima upande mwingine ulegee. na lazima alikutenda.
kupenda nako sometimes ni matatizo. njemba inaangusha kilio!!!! Duuh

Ukipenda sana na yenyewe shida sana lakini sasa ndo utafanyaje na Moyo ndo ushadondoka hivyo mapenzi haya acha jamaa atoe chozi tu du!
 
Usiogope Aggrey86 hakuna anayependa yamkute haya hata mie wakati huo nilikuwa nimeshapagawa na penz jipya na wala chozi la jamaa halikunistua nirudi nyuma. Ukiwa kwenye dimbwi la mapenz unaweza kufanya kitu cha kutisha zaidi ya nilichokifanya mimi. Pamoja na kuwa nilikuwa na sababu ingine ila siku ya siku nilitumia simu tu kuvunja mahusiano, hakuamini kabisaa. Mapenz mabaya, mapenz yanarun dunia.

dah! Haya mambo kumbe ndo mana hadi watu wanakunywa sumu lakini ikishatokea ndo lazima ukabaliane na matokeo tu no way..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom