leo wazanzibari wanaandamana hawataki muungano,watanganyika wanasema muungano si halali na hauna manufaa,vipi juliasi angekua hai haya mambo yangezungumzwa kwa staili gani?.sikumbuki ni mwaka gani,wabunge walikua wakiujadili muungano.Nyerere aliingia bila taarifa ndani ya bunge akasema anaetaka muungano akae huku na asietaka muungano akae huku,vipi angekua hai leo tungesikia kauli gani kuhusu matamko yake??