Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,820
Kabisa mkuuHahahah! Acha tu mkuu Milima haikutani binadamu wanakutana
Kabisa mkuuHahahah! Acha tu mkuu Milima haikutani binadamu wanakutana
Belle kapiga chorus ya kibabe humo
Nilikua najiuliza kwanini belle aliumiza vile nikajua labda Pina alimtishaHatari sana mkuu
Hata Mimi niliwahi waza hivyo mkuu, maana ile "Nimezaliwa miaka ya sabini, mtoto wa tisini unadhani utaniambia nini....."Nilikua najiuliza kwanini belle aliumiza vile nikajua labda Pina alimtisha
Acheni zenu bana kwani PINNA anapiga wasanii ovyo kama dudubaya au chidi benzi?Nilikua najiuliza kwanini belle aliumiza vile nikajua labda Pina alimtisha
Inategemea akili yako inavyokutuma mkuuWe ndiyo Pinna nini mzee!
Sikulaumu ndio upeo wako wa kufikiri ulipofikia,siku njema chiefNimekusoma mwanzo mpaka mwisho, nimefikia hitimisho kwamba wewe ndiye.
Hahah!! Vers ya pili ya pina inavyoanza sasaHata Mimi niliwahi waza hivyo mkuu, maana ile "Nimezaliwa miaka ya sabini, mtoto wa tisini unadhani utaniambia nini....."
Sisi tunazingua tu ukifatilia mazungumzo yetu utaona dhania zimejaaA
Acheni zenu bana kwani PINNA anapiga wasanii ovyo kama dudubaya au chidi benzi?
We ndiyo Pinna nini mzee!
Sikulaumu ndio upeo wako wa kufikiri ulipofikia,siku njema chief
Umoja ni nguvu inaitwaKuna mwanangu mmoja wakati tupo o levo siku hiyo ticha wa kiswahili alikuwa anafundisha masuala ya mashairi. Akauliza nani anaweza kutughania mashairi anayoyajua jamaa yangu akaenda mbele aanze kughani mashairi. Akachana ngoma ya pina siijui jina ila baadhi ya mistari yake ni hii"Nakunya nyie mtazoa..nawasha kama chavi chavi"
Watu walicheka na kuburudika saaana ticha hakuelewa ile ngoma akabaki kumsifia mchizi kwa mashairi.
Aaaah shukran chief ile ngoma imesimama saaana. Na ile mistari ukisikiliza lazima uburudike.Umoja ni nguvu inaitwa
Nyimbo za kikosi unaweza pata katika www.mikito.com zipo nyingi hata hiyo ikiwemoAaaah shukran chief ile ngoma imesimama saaana. Na ile mistari ukisikiliza lazima uburudike.
Wale ndo walikuwa wahuni aiseee
Asante ndugu nitapitiamo!Nyimbo za kikosi unaweza pata katika www.mikito.com zipo nyingi hata hiyo ikiwemo
Enzi za "asie husika ashuke" miaka ya 2011 uyu jamaaa n mtemi saanakalapina ...Uwa azingui ...siku ile alipomjaza ngumi chid Benz ...sialikuwa anapiga show moja pale dar sijui ilikuwa ukumbi gani ..itakuwa ilikuwa dar live au maisha club ...sasa Chid alivamia show ya Pina akachukua maiki huku alikuwa amelewa balaa...akaanza kuimba..mambo ayaeleweki na matusi sasa pina alivyomwambia aludishe maiki Chid akagoma ...ndipo hapo alipochezea kichapo...heavy.
Ila sahv kalipina naona game kaliacha ..ameamuwa Kuhost kipind flan Clouds tv kinaitwa Alakati.
Ilikuwa 2013Enzi za "asie husika ashuke" miaka ya 2011 uyu jamaaa n mtemi saana
HahaaKuna kipindi nakumbuka Pina alilainisha akapiga ngoma inaitwa Good time alimshirikisha Ommy Dimpoz....
Siku anatambulisha ile ngoma Radioni nakumbuka alipiga mikwara kwa maDjz kua....
''Hampigi ngoma zetu mnasema ngumu sana alafu tukiwapiga mnalalamika, haya sasa nimefanya laini msipige tena tunaanza kuwadunda tu''
Leo nimeongea na Pinna kuhusu mawili matatu juu ya huu mjadala nitawapa mrejesho baadae jinsi alivyosemaHahaa