Unakumbuka Enzi za Kalapina?

Kuna mwanangu mmoja wakati tupo o levo siku hiyo ticha wa kiswahili alikuwa anafundisha masuala ya mashairi. Akauliza nani anaweza kutughania mashairi anayoyajua jamaa yangu akaenda mbele aanze kughani mashairi. Akachana ngoma ya pina siijui jina ila baadhi ya mistari yake ni hii"Nakunya nyie mtazoa..nawasha kama chavi chavi"
Watu walicheka na kuburudika saaana ticha hakuelewa ile ngoma akabaki kumsifia mchizi kwa mashairi.
 
Kuna mwanangu mmoja wakati tupo o levo siku hiyo ticha wa kiswahili alikuwa anafundisha masuala ya mashairi. Akauliza nani anaweza kutughania mashairi anayoyajua jamaa yangu akaenda mbele aanze kughani mashairi. Akachana ngoma ya pina siijui jina ila baadhi ya mistari yake ni hii"Nakunya nyie mtazoa..nawasha kama chavi chavi"
Watu walicheka na kuburudika saaana ticha hakuelewa ile ngoma akabaki kumsifia mchizi kwa mashairi.
Umoja ni nguvu inaitwa
 
kalapina ...Uwa azingui ...siku ile alipomjaza ngumi chid Benz ...sialikuwa anapiga show moja pale dar sijui ilikuwa ukumbi gani ..itakuwa ilikuwa dar live au maisha club ...sasa Chid alivamia show ya Pina akachukua maiki huku alikuwa amelewa balaa...akaanza kuimba..mambo ayaeleweki na matusi sasa pina alivyomwambia aludishe maiki Chid akagoma ...ndipo hapo alipochezea kichapo...heavy.

Ila sahv kalipina naona game kaliacha ..ameamuwa Kuhost kipind flan Clouds tv kinaitwa Alakati.
Enzi za "asie husika ashuke" miaka ya 2011 uyu jamaaa n mtemi saana
 
Kuna kipindi nakumbuka Pina alilainisha akapiga ngoma inaitwa Good time alimshirikisha Ommy Dimpoz....

Siku anatambulisha ile ngoma Radioni nakumbuka alipiga mikwara kwa maDjz kua....

''Hampigi ngoma zetu mnasema ngumu sana alafu tukiwapiga mnalalamika, haya sasa nimefanya laini msipige tena tunaanza kuwadunda tu''

 
Kuna kipindi nakumbuka Pina alilainisha akapiga ngoma inaitwa Good time alimshirikisha Ommy Dimpoz....

Siku anatambulisha ile ngoma Radioni nakumbuka alipiga mikwara kwa maDjz kua....

''Hampigi ngoma zetu mnasema ngumu sana alafu tukiwapiga mnalalamika, haya sasa nimefanya laini msipige tena tunaanza kuwadunda tu''

Hahaa
 
Leo nimeongea na Pinna kuhusu mawili matatu juu ya huu mjadala nitawapa mrejesho baadae jinsi alivyosema
20180425_150305.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom