WirelessBrain
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 980
- 1,351
Uwiiii COET walivyokua rough vyoo vyao unahisi vilikuaje????
Mbona Bashite kwa nje yuko smart..
Uwiiii COET walivyokua rough vyoo vyao unahisi vilikuaje????
hall2 imefungwa nw hakuna mtu anayeishkuhusu hall 2 nikweli kabisa mwaka jana ukuta ulidondoka asubuh nikasema kifo chaja
kuhusu miundombinu ya maji ndo usiseme ivyo vyoo mkuu havifai kbsa
et "vyoo vya mlimani at least"; wacha usista duu kidole kijijn kwenu huko mnakunya porini et nw umepat fursa ya kuja mjin et mliman at least!Sitaki kukumbuka vyoo vya hall three au vile vya pale seminar rooms. Nikiwa chuo Mlimani nilipata UTI hadi kufikia stage ya kukojoa damu sitakaa nisahau!!! Usafi wa pale ni zero kabisa. Nakumbuka tulikua na trip nyingi za Mlimani city kila jioni maana vyoo vyao atleast vilikua visafi... kwa hiyo mtu unajikaza simu nzima ukimaliza vipindi unaenda kushusha mzigo Mlimani City!!! That was 6 years ago.....
Ofcourse vyoo vya Mlimani city vilikua "atleast" visafi coz u can't compare them na vya hall three hygenicaly,japo vinatumika sana na wengi coz nisehemu ya biashara.et "vyoo vya mlimani at least"; wacha usista duu kidole kijijn kwenu huko mnakunya porini et nw umepat fursa ya kuja mjin et mliman at least!
[HASHTAG]#umekuja[/HASHTAG] kunya au kusoma
Hahahaha asa Wa COET they are too busy studying to care about their looksMbona Bashite kwa nje yuko smart..
Mkuu hili ni tatizo la nchi nzima. Yani ofisi nyingi za umma lakini vyoo vya kukalia,sijui usomi wa wapi huu. Yani aliyebuni, mwenye Mali na aliyetengeneza wote wameshindwa kuona kuwa hivyo vyoo havifaii hata kidogo kwa mtu zaidi ya mmoja.Vyoo vya kukaa kwenye mabweni ya mrundikano?? Hivi nani aliwaambia watz tunainjoi vyoo vya kukaa?
Kwa hiyo sometimes kwenda kushusha kimba ulikua unalilipia nauli? Nina imagine wakati ule umeshatoka kula cha usiku halafu tumbo linahitaji kushusha lockSitaki kukumbuka vyoo vya hall three au vile vya pale seminar rooms. Nikiwa chuo Mlimani nilipata UTI hadi kufikia stage ya kukojoa damu sitakaa nisahau!!! Usafi wa pale ni zero kabisa. Nakumbuka tulikua na trip nyingi za Mlimani city kila jioni maana vyoo vyao atleast vilikua visafi... kwa hiyo mtu unajikaza simu nzima ukimaliza vipindi unaenda kushusha mzigo Mlimani City!!! That was 6 years ago.....
et "vyoo vya mlimani at least"; wacha usista duu kidole kijijn kwenu huko mnakunya porini et nw umepat fursa ya kuja mjin et mliman at least!
[HASHTAG]#umekuja[/HASHTAG] kunya au kusoma
Sitaki kukumbuka vyoo vya hall three au vile vya pale seminar rooms. Nikiwa chuo Mlimani nilipata UTI hadi kufikia stage ya kukojoa damu sitakaa nisahau!!! Usafi wa pale ni zero kabisa. Nakumbuka tulikua na trip nyingi za Mlimani city kila jioni maana vyoo vyao atleast vilikua visafi... kwa hiyo mtu unajikaza simu nzima ukimaliza vipindi unaenda kushusha mzigo Mlimani City!!! That was 6 years ago.....