Unajuaje kuwa umetakata?

kethika

JF-Expert Member
Oct 16, 2015
630
472
Najua wote huwa tunaoga labda mtu akiwa na shida maalum. Wengine wanaoga mara moja kwa wiki wengine mara moja kwa siku wengine mara mbili kwa siku nakadhalika.
Swali langu ni je unajuaje kama umetakata wakati unaoga? Ni baada ya maji kuisha? Muda kuisha ? Au inakuaje?
 
Mi hujua nimetakata baada ya kujisugua sehemu zote muhimu na nikatakata, haijalishi maji yameisha, yakiisha naongeza ilimradi nijitakatishe vyema ndio hapo nitasema nimetakata
 
Back
Top Bottom