Unajua nini kinatokea Mama mjamzito akitumia kilevi

kirabe

JF-Expert Member
Jan 29, 2015
434
300
Alcohol inaweza kupita kwenye damu ya mama na kumfikia mtoto...

Madhara yake ni huwa inaathiri ukuaji wa chembe hai za ubongo, chembe hai za uti wa mgongo na chembehai nyingine za mtoto mwilini..

Hii ni kutokana na mtoto kutokua na uwezo wa kupambana na alcohol sababu ini linakua bado halijatengemaa kwa kazi hio.
 
Alcohol inaweza kupita kwenye damu ya mama na kumfikia mtoto...

Madhara yake ni huwa inaathiri ukuaji wa chembe hai za ubongo, chembe hai za uti wa mgongo na chembehai nyingine za mtoto mwilini..

Hii ni kutokana na mtoto kutokua na uwezo wa kupambana na alcohol sababu ini linakua bado halijatengemaa kwa kazi hio.
Alafu anaibuka mmama, anajisifia mimi huwa nikiwa mja mzito huwa napendaga sana bia, watoto wakimzingua anatumia zaidi bakora.
 
Alafu anaibuka mmama, anajisifia mimi huwa nikiwa mja mzito huwa napendaga sana bia, watoto wakimzingua anatumia zaidi bakora.
uyo anajisifia ujinga, hio sababu ya uelewa mdogo.
 
Alcohol inaweza kupita kwenye damu ya mama na kumfikia mtoto...

Madhara yake ni huwa inaathiri ukuaji wa chembe hai za ubongo, chembe hai za uti wa mgongo na chembehai nyingine za mtoto mwilini..

Hii ni kutokana na mtoto kutokua na uwezo wa kupambana na alcohol sababu ini linakua bado halijatengemaa kwa kazi hio.


!
!
matokeo yake wote watalewa acha uongo.
 
Vipi kwa anayenyonyesha?
Ina madhara pia..

Maana wataalamu wana sema kiwango kitakacho kuwepo kwenye maziwa hakitotofautiana sana na kile kilichopo kwenye damu...

Sasa huwa na madhara kwa mtoto maana yeye anakua bado uwezo wake wakupambana na sumu ni mdogo
 
Ina madhara pia..

Maana wataalamu wana sema kiwango kitakacho kuwepo kwenye maziwa hakitotofautiana sana na kile kilichopo kwenye damu...

Sasa huwa na madhara kwa mtoto maana yeye anakua bado uwezo wake wakupambana na sumu ni mdogo
Oh okay...thanks
 
Back
Top Bottom