Mh! hata nikiambiwa niwape hukumu leo nafikiria nitawapa hukumu gani maana naona hata kunyonga ni adhabu ndogo......hiki chama kimenitoka hakuna mfanowe.
Mh! hata nikiambiwa niwape hukumu leo nafikiria nitawapa hukumu gani maana naona hata kunyonga ni adhabu ndogo......hiki chama kimenitoka hakuna mfanowe.
hakuna njaa hapa ila habari ndo hiyo... no challenge without different ideas, no changes if you are one... after all mimi sio ccm ila nimetoa mawazo yangu kama ulivotaka mawazo tofauti.