ni nani alie CCM alieshinda bila kutoa rushwa na kuiba kura?
Ni nani CCM asie fisadi?
ninani CCM asie na uchu wa madaraka?
LIwalo na liwe....
mspichagua CCM mtakufa... kauli ya Mwigulu akiwa Arusha.
Lukuli akasema Chadema walizuia polisi kumkamata mrusha bomu wkt polisi ndio waliofyatua risasi kuwajeruhi walio
taka kumkamata mrusha bomu na akatoroshwa na polisi.
Nape alisema Mbowe atakutana na aibu yake Arusha ndio hiyo ya kunusurika kulipoliwa na bomu.
ushahidi huu na zingine zinadhihirisha bila shaka kuwa ni chama cha........????
malizia mwenyewe.