Unajifunza nini ukiitizama picha hii?

Unajifunza nini ukiitizama picha hii?

Mimi sitafuti nafasi ndugu yangu.maana nafasi yangu ni katika kutimiza majukumu yangu ya kujipatia riziki yangu ,kupitia kazi za mikono yangu shambani
Acha fix!

You're just a braggart motivated by brown envelope.

You have got nothing descent to do for to earn a livelihood.
 
Chawa toka lini akawa na cha kujifunza? Kichwani umejaa tu mayai ya chawa subiri time ifike ukatagie huko, hapa unatujazia tu seva!
 
Wewe Lucas mwashambwa hujapata funzo lolote katika hiyo picha.
Ungepata funzo usingekuwa unawasifu wanadamu wenzako.
Kwanza unaowasifu hawastahili hizo sifa.
Pili hata kama walistahili kumbuka wanalipwa kwa hiyo kazi hivyo ni sehemu ya wajibu wao.
Mwanadamu mwenye akili timamu hawezi kumwaga sifa kwa mwanadamu mwenzake
 
Wewe Lucas mwashambwa hujapata funzo lolote katika hiyo picha.
Ungepata funzo usingekuwa unawasifu wanadamu wenzako.
Kwanza unaowasifu hawastahili hizo sifa.
Pili hata kama walistahili kumbuka wanalipwa kwa hiyo kazi hivyo ni sehemu ya wajibu wao.
Mwanadamu mwenye akili timamu hawezi kumwaga sifa kwa mwanadamu mwenzake
Mtu anayefanya vizuri katika majukumu yake ni muhimu na uungwana mkubwa sana kumpongeza na kumtia moyo ili aendelee mbele zaidi.siyo vyema kumkatisha tamaa anayefanya vyema.maana wenye mioyo ya kujitoa na kujitolea kufanya kazi kwa ajili ya kugusa maisha ya watu ni wachache sana.hivyo hawa wachache kama akina Mheshimiwa Rais Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan hatuna budi kuwaunga mkono .
 
Tafsiri ya picha......... ni mada iliyowahi kuletwa humu kama sikosei na mshana Jr ilikuwa ni somo zuri sana. Nimetazama picha nikakumbuka hiyo mada
 
Mtu anayefanya vizuri katika majukumu yake ni muhimu na uungwana mkubwa sana kumpongeza na kumtia moyo ili aendelee mbele zaidi.siyo vyema kumkatisha tamaa anayefanya vyema.maana wenye mioyo ya kujitoa na kujitolea kufanya kazi kwa ajili ya kugusa maisha ya watu ni wachache sana.hivyo hawa wachache kama akina Mheshimiwa Rais Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan hatuna budi kuwaunga mkono .
Kwahiyo unataka kusema Samia anafanya majukumu nje ya majukumu yake aliyopaswa kufanya?
Namaanisha Samia anafanya majukumu ya ziada?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiwa kama mwanadamu na binadamu ambaye umepata neema ya Mwenyezi Mungu ya kuwa hai mpaka siku ya leo unajifunza nini na unapata somo lipi ukiitizama picha hii? Nini kinakuja katika akili yako? Nini unapaswa kufanya kama mwanadamu kila uamkapo asubuhi?

Kwangu mimi Mwashambwa Lucas napata funzo na somo la kuwa Kifo ni Fumbo ,aijuaye kesho ya mtu ni Mungu pekee .siku za kuishi mwanadamu hapa Duniani zipo mikononi mwa Mwenyezi Mungu pekee, na siyo kwa ujanja wa mwanadamu wala mipango ya mwanadamu katika kuishi hapa Duniani.

Najifunza kuwa kwa kila jambo kuna majira yake na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.kikubwa ukipata nafasi ya kuishi basi jitahidi kumcha Mungu, kuishi maisha ya kumpendeza Mungu, kutenda mema,kugusa maisha ya watu,kuacha alama katika maisha ya watu,kuwatendea watu wema.kujuwa kuwa Duniani sisi sote ni wapitaji tu na siyo mahali pa kudumu. Hivyo tunapaswa kama wanadamu kufahamu ya kuwa kama ilivyokuwa siku yetu ya kuzaliwa basi pia kuna saa yetu na siku yetu ya kufa na kuondoka hapa Duniani yaja mbele yetu kitambo kidogo.hivyo mjue sana Mungu ili uwe na amani hata saa yako ya kuondoka hapa Duniani itakapowadia.

Najifunza na naendelea kujifunza kuwa Mungu huvuna popote pale na wakati wowote ule pasipo mipaka wala kizuizi cha aina yoyote ile,kwa sababu sisi sote wanadamu ni sawa na tupo sawa mbele ya macho yake.

Mungu awalaze mahali pema peponi viongozi wetu hawa watatu waliotangulia mbele za haki. lakini pia aendelee kumjalia maisha marefu yenye heri na baraka Mheshimiwa Rais wetu mstaafu mzee Dr Jakaya Mrisho Kikwete maana ni muhimu sana Taifa kuwa na wazee na viongozi wastaafu katika kutoa mawazo na ushauri kwa uongozi unaokuwepo madarakani kwa wakati huo hasa katika nyakati ngumu zinazohitaji busara na uzoefu wa wazee walipitia katika uongozi . Kusudi la kuumbwa kwao walishalimaliza hapa Duniani na walipoishia ndipo ilikuwa mipango ya Mungu kwa wao kutufikisha hapo kama Taifa katika ulimwengu wa kiroho.

Hivyo kila kiongozi wetu aliye hai na aliyepewa nafasi na neema ya kuwahudumia na kuwatumikia watanzania anapaswa kujiuliza kuwa ni vipi na kwa namna gani amegusa maisha ya watanzania. Ni kipi atakumbukwa na watanzania pale atakapomaliza utumishi wake wa umma. Ni vipi na kwa namna ipi hadithi yake itasimuliwa na vinywa vya walio hai. Uwepo wake katika nafasi fulani ya uongozi ni kwa kiasi gani umeleta tabasamu ,furaha na matumaini katika mioyo ya watanzania. Maisha yake hapa Duniani yamebadilisha maisha ya watu wangapi na kuwapa matumaini. Ni vipi umewatendea watu haki. Ni vipi mikono yako imegusa maisha ya watu.

Kikubwa ni kutambua kuwa hakuna mwanadamu aliye kamilika chini ya jua.kila mtu ana udhaifu wake,makosa yake,upungufu wake kama mwanadamu. Hivyo kama wanadamu hatuna budi kusameheana, kusaidiana,Kuombeana heri na kumuomba Mungu atusamehe makosa yetu,atuongoze katika njia zetu na maamuzi yetu na kutufanya kuwa viumbe vipya katika matendo yetu yatakayo leta na kuchochea amani na upendo miongoni mwetu.

Hata mimi niliyeandika hapa nami ni mwanadamu ambaye sijakamilika kama alivyo kamilika Mungu,ndio maana kila siku kabla ya kulala namwomba Mungu anisamehe makosa yangu niliyo yatenda iwe kwa mawazo ,kwa maneno na hata matendo yangu.hivyo tusameheane na kuhurumiana.

Kipekee kabisa namuombea kwa dhati ya moyo wangu maisha marefu yenye heri ,amani na furaha Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan,Mungu aendelee kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania,amlinde , kumpigania na kumtetea wakati wote.mkono wa Mungu na uso wake uwe pamoja na Rais wetu.amtangulie mahali popote aendapo.Mungu ndiye awe mlinzi wake,dereva wake na daktari wake.Mungu akawe ndani ya Moyo wa kila mtu amhudumiaye Rais wetu.chochote kifanyikacho kwa Rais wetu kikawe na kibali na mkono wa Mungu ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.View attachment 2925123
Najifunza kwamba;

1. Hao wengine wote watatu wameshakufa na anayefuatia ni huyo wa katikati..

2. Tanganyika iliyouwawa kikatili inakwenda kufufuka na kuishi tena.

Ni msimu mpya.......

Ni majira mapya.........

Ni nyakati mpya.........

Ni kifo na mwisho wa CCM.....
 
Najifunza kwamba;

1. Hao wengine wote watatu wameshakufa na anayefuatia ni huyo wa katikati..

2. Tanganyika iliyouwawa kikatili inakwenda kufufuka na kuishi tena.

Ni msimu mpya.......

Ni majira mapya.........

Ni nyakati mpya.........

Ni kifo na mwisho wa CCM.....
Utakufa wewe na kumuacha akiendelea kuishi maisha marefu na yenye furaha kwa neema ya Mungu.
 
Utakufa wewe na kumuacha akiendelea kuishi maisha marefu na yenye furaha kwa neema ya Mungu.
Miaka ya kuishi binadamu ni 70 ikizidi ni bonus tu...

Sasa Jakaya Kikwete ni zaidi ya 70. Hata mtu akisema anaweza kufa wakati wowote, wala itakuwa sio kumchulia bali ni kanuni ya uumbaji na maumbile aliyoweka Mungu mwenyewe...

Lakini kwako wewe Lucas mwashambwa ndiye unayeweza kufa wakati wowote bila kujali umri wako kwa sababu ya tabia na mwenendo wako usiofaa mbele za watu na mbele ya Mungu Yehova...

Uandishi na utetezi wako wa uovu na dhambi ni ushahidi tosha...

CCM ni syndicate ya uharamia na uovu wa kidola.

Na wewe ndiye mpiga zumari wao. Jirekebishe ili Mungu akurehemu na kukusamehe vinginevyo nawe hutaiepuka hukumu kali ya Mungu..!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiwa kama mwanadamu na binadamu ambaye umepata neema ya Mwenyezi Mungu ya kuwa hai mpaka siku ya leo unajifunza nini na unapata somo lipi ukiitizama picha hii? Nini kinakuja katika akili yako? Nini unapaswa kufanya kama mwanadamu kila uamkapo asubuhi?

Kwangu mimi Mwashambwa Lucas napata funzo na somo la kuwa Kifo ni Fumbo ,aijuaye kesho ya mtu ni Mungu pekee .siku za kuishi mwanadamu hapa Duniani zipo mikononi mwa Mwenyezi Mungu pekee, na siyo kwa ujanja wa mwanadamu wala mipango ya mwanadamu katika kuishi hapa Duniani.

Najifunza kuwa kwa kila jambo kuna majira yake na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.kikubwa ukipata nafasi ya kuishi basi jitahidi kumcha Mungu, kuishi maisha ya kumpendeza Mungu, kutenda mema,kugusa maisha ya watu,kuacha alama katika maisha ya watu,kuwatendea watu wema.kujuwa kuwa Duniani sisi sote ni wapitaji tu na siyo mahali pa kudumu. Hivyo tunapaswa kama wanadamu kufahamu ya kuwa kama ilivyokuwa siku yetu ya kuzaliwa basi pia kuna saa yetu na siku yetu ya kufa na kuondoka hapa Duniani yaja mbele yetu kitambo kidogo.hivyo mjue sana Mungu ili uwe na amani hata saa yako ya kuondoka hapa Duniani itakapowadia.

Najifunza na naendelea kujifunza kuwa Mungu huvuna popote pale na wakati wowote ule pasipo mipaka wala kizuizi cha aina yoyote ile,kwa sababu sisi sote wanadamu ni sawa na tupo sawa mbele ya macho yake.

Mungu awalaze mahali pema peponi viongozi wetu hawa watatu waliotangulia mbele za haki. lakini pia aendelee kumjalia maisha marefu yenye heri na baraka Mheshimiwa Rais wetu mstaafu mzee Dr Jakaya Mrisho Kikwete maana ni muhimu sana Taifa kuwa na wazee na viongozi wastaafu katika kutoa mawazo na ushauri kwa uongozi unaokuwepo madarakani kwa wakati huo hasa katika nyakati ngumu zinazohitaji busara na uzoefu wa wazee walipitia katika uongozi . Kusudi la kuumbwa kwao walishalimaliza hapa Duniani na walipoishia ndipo ilikuwa mipango ya Mungu kwa wao kutufikisha hapo kama Taifa katika ulimwengu wa kiroho.

Hivyo kila kiongozi wetu aliye hai na aliyepewa nafasi na neema ya kuwahudumia na kuwatumikia watanzania anapaswa kujiuliza kuwa ni vipi na kwa namna gani amegusa maisha ya watanzania. Ni kipi atakumbukwa na watanzania pale atakapomaliza utumishi wake wa umma. Ni vipi na kwa namna ipi hadithi yake itasimuliwa na vinywa vya walio hai. Uwepo wake katika nafasi fulani ya uongozi ni kwa kiasi gani umeleta tabasamu ,furaha na matumaini katika mioyo ya watanzania. Maisha yake hapa Duniani yamebadilisha maisha ya watu wangapi na kuwapa matumaini. Ni vipi umewatendea watu haki. Ni vipi mikono yako imegusa maisha ya watu.

Kikubwa ni kutambua kuwa hakuna mwanadamu aliye kamilika chini ya jua.kila mtu ana udhaifu wake,makosa yake,upungufu wake kama mwanadamu. Hivyo kama wanadamu hatuna budi kusameheana, kusaidiana,Kuombeana heri na kumuomba Mungu atusamehe makosa yetu,atuongoze katika njia zetu na maamuzi yetu na kutufanya kuwa viumbe vipya katika matendo yetu yatakayo leta na kuchochea amani na upendo miongoni mwetu.

Hata mimi niliyeandika hapa nami ni mwanadamu ambaye sijakamilika kama alivyo kamilika Mungu,ndio maana kila siku kabla ya kulala namwomba Mungu anisamehe makosa yangu niliyo yatenda iwe kwa mawazo ,kwa maneno na hata matendo yangu.hivyo tusameheane na kuhurumiana.

Kipekee kabisa namuombea kwa dhati ya moyo wangu maisha marefu yenye heri ,amani na furaha Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan,Mungu aendelee kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania,amlinde , kumpigania na kumtetea wakati wote.mkono wa Mungu na uso wake uwe pamoja na Rais wetu.amtangulie mahali popote aendapo.Mungu ndiye awe mlinzi wake,dereva wake na daktari wake.Mungu akawe ndani ya Moyo wa kila mtu amhudumiaye Rais wetu.chochote kifanyikacho kwa Rais wetu kikawe na kibali na mkono wa Mungu ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.View attachment 2925123
Wote ni vibaka wa kura tu.
 
Back
Top Bottom