Patriote
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 1,718
- 1,047
Kwanza kabisa napenda kuchukua nafasi hii kuipongeza sana timu nzima ya makamanda wa chadema na wananchi wa Arumeru kwa kuwapa raha watanzania kwa kufanya maamuzi yaliyo sahihi. Wana Arumeru mmetutendea haki watanzania wenzenu.
Pili nawapongeza wananchi wa Kiwira-mbeya, Lizaboni Songea/Ruvuma, Mwanza na wale wa Tanga kwa kufanya maamuzi sahihi ya kuimwaga CCM.
Aidha, naomba nichukue nafasi hii kukaribisha ushauri, maoni pamoja na constructive critisisms kwa chama na uongozi wa chama chetu ili tujipange vizuri katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu 2015. Ikumbukwe kuwa harakati za ushindi wa uchaguzi ujao zinapaswa kuwa zimeshaanza mana chama bado hakijafika maeneo mengi ya vijijini na kunachangamoto nyingi zinazokikabili chama chetu. Ni chama chetu ndicho kilichobeba matumaini ya watanzania waliowe wengi. Hivyo tunapaswa kushirikiana ili kukidhi matarajio ya watanzania na hivyo kushinda katika vita hii ya ukombozi.
Ushauri wangu mimi, naomba kwenye website ya chama, ziwekwe contacts za viongozi wa chama waliopo katika ngazi za mikoa, wilaya na hata kata ili tuweze kuwasiliana nao moja kwa moja na kuwapa mbinu mkakati, maoni au ushauri. Nakaribisha maini yenu wanajamvi.
Pili nawapongeza wananchi wa Kiwira-mbeya, Lizaboni Songea/Ruvuma, Mwanza na wale wa Tanga kwa kufanya maamuzi sahihi ya kuimwaga CCM.
Aidha, naomba nichukue nafasi hii kukaribisha ushauri, maoni pamoja na constructive critisisms kwa chama na uongozi wa chama chetu ili tujipange vizuri katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu 2015. Ikumbukwe kuwa harakati za ushindi wa uchaguzi ujao zinapaswa kuwa zimeshaanza mana chama bado hakijafika maeneo mengi ya vijijini na kunachangamoto nyingi zinazokikabili chama chetu. Ni chama chetu ndicho kilichobeba matumaini ya watanzania waliowe wengi. Hivyo tunapaswa kushirikiana ili kukidhi matarajio ya watanzania na hivyo kushinda katika vita hii ya ukombozi.
Ushauri wangu mimi, naomba kwenye website ya chama, ziwekwe contacts za viongozi wa chama waliopo katika ngazi za mikoa, wilaya na hata kata ili tuweze kuwasiliana nao moja kwa moja na kuwapa mbinu mkakati, maoni au ushauri. Nakaribisha maini yenu wanajamvi.