Unaionaje hii business idea

Ahsante kwa idea yako mkuu, hasa hicho kipengele cha kwanza, ntalifikiria hilo...
Mkuu, hii idea, kama vile umeniibia!! just a collusion of ideas, so far go a head!!
1. Kwa Tanzania hili soko haliitaji kuangalia competitors is an virgin market, and all chances of being market leader.
2. The only analysis ni swot yako wewe service provider, that is all!!!
3. kuna unlimited customers pale tanzania, watu wengi wangependa kunywa bia wakiwa faragha, na wakifanya mazungumzo na siyo open space as used to be.

Mwisho nitapenda tuwasiliane zaidi ili tufanye supply chain, sababu najua kuna vitu utahitaji joint supplier, mfano, vinywaji, vyakula, n.k kwenye standard yako. hivyo kupunguza ukubwa wa management!! kama utapenda kufanya hivyo, ingawa pia I would suggest ufanye hivyo, ubaki na income ya chumba @hour na vinywaji, then chakula na warembo just commision investor mwingine, na mie ndo na fall humo!!
SP
 
Thank mkuu... Yes, am planning kufanya vitu vingine pia, ila vyote vitahusika na entertainment, na since big rooms zitakuwepo pia still itatumika kama meeting room, for as long as mtu analipia kwa muda flani hapo ni mtu mwenyewe tu atapenda kufanya nini kwa huo muda..

nimecheka kweli yani ni kweli c watz kwa pombe mmhhh tumeshindikana,mahali bila pombe mhhh.nimeipenda idea ya jamaa hapo juu, mi nashauri uweke hiyo biznes mitaa ya mjini kati usiweke uswahilini, eg maeneo ya jmall, PSPF building huko, sijui rooms zako zipi wapi ila iwe town katikati hivi, big up--bila kusahau B2B marketing na hizo corporates inaweza saidia
 
Mkuu kwenda karaoke haimanishi kurekodi, na sijaongelea shilingi laki tano, naongelea shilingi elfu tano, kwa nini nimchaji mtu saa moja shilingi laki tano hata millionaire hawezi kulipa hiyo hela kwa saa moja, n siyo kurekodi, ni kuimba tu just as fun, n kama sio hivo hiyo yaweza kua kama meeting place watu wanakutana wanakaa na ku-relax, drink etc... since ni elfu tano kwa room wakiwa watu watano manake watachange buku buku, ni mtu mwenyewe tu..

will it realy pay you?anyway uckatishwe tamaa it can work vizur tu so long as kuna vinywaji many youth will come kukiwa tayar give full adress i would really love to be ur first customer
 
bado sana kwa uchumi kama wa tz mtu apoteze hela kisa kujirekodi iko luxurious sana labda kwa africa ni s.africa au nigeria tena kwa wateja wa kupishana masaa matano kabla.

Itachukua muda sana kuwaweka wabongo kwenye line.....its nyc idea by the way.
 
Hapo pataawafaa vijana wengi wanaotaka kutoka na girlfriend wao wasiotaka usumbufu mkuu
 
Mkuu kwenda karaoke haimanishi kurekodi, na sijaongelea shilingi laki tano, naongelea shilingi elfu tano, kwa nini nimchaji mtu saa moja shilingi laki tano hata millionaire hawezi kulipa hiyo hela kwa saa moja, n siyo kurekodi, ni kuimba tu just as fun, n kama sio hivo hiyo yaweza kua kama meeting place watu wanakutana wanakaa na ku-relax, drink etc... since ni elfu tano kwa room wakiwa watu watano manake watachange buku buku, ni mtu mwenyewe tu..

hapa ndio nimeelewa,nzuri hiyo wateja wengi tu...watu sehemu zakukutana wanatafuta bar za kujificha..hiyo ipo kwenye demand..
 
This is new and rocking idea. Tell you what: hii kitu unatakiwa uanze na pilot rooms. Nashauri iwe maeneo Kama karibu na vyuoni. Let's say mabibo hostel, maeneo ya ifm japo najua kuna moja ipo posta. Ni bar Ila kuna siku walevi wanaimbaimba ujinga wao pale. Nasema maeneo hAyo kwa sababu naangaliaga kila karaoke nagundua wenye Muda wa kukariri mashairi ni wanafunzi tu.
 
5k ni gharama ya kurekod na full mixing kwenye studio kbwa na maarufu hapa dar. So kwa mimi ambaye ninapenda kuimba na kujiimbisha nitaenda kwenye vistudio vya uswaz au kwa majamaa wenye fl au qubase na nikajirekodisha kisha nijirekod pia kisha ntupie mitandaon au nimpe mama yeyoo kuliko kwenda kariokee then nilipe that money. Its a good idea bt not for this economy

5k si nisawa na 5000/= kibongobongo, kuna studio maarufu unarekodi kwa bei hio kweli?
 
5k ni gharama ya kurekod na full mixing kwenye studio kbwa na maarufu hapa dar. So kwa mimi ambaye ninapenda kuimba na kujiimbisha nitaenda kwenye vistudio vya uswaz au kwa majamaa wenye fl au qubase na nikajirekodisha kisha nijirekod pia kisha ntupie mitandaon au nimpe mama yeyoo kuliko kwenda kariokee then nilipe that money. Its a good idea bt not for this economy
Samahani mkuu, unajua tofauti Kati ya kareoke na hicho ulichozungumza????
 
Me nafkiria hapo dar nitafute hall kisha niweke vitanda vya vidogo na net iwe sehemu ya kulala walalahoi kila siku buku2 au 3 kama watu50 kila siku kwa mwezi nna sh ngapi?hiyo dili imekaaje wadau sehem km kariakoo kule uweke kitu km hii c unamake asee
 
Good idea lakini pia uangalie utaratibu wa kuweka vyumba ambavyo vitakua pombe na smoke free! Kuna watu wanaweza kuamua kuja kufurahi na familia zao au watoto hawatopenda kuja kuskia harufu hizo. Mazingira ya afya na usafi muhimu.
 
Back
Top Bottom