Sorry nimekosea ni mwisenge sio kamunyonge...nimechanganya...nimetoka kitambo ila shule naijua ilipo kama unaelekea majita karibu na ile hotel nzuri sana ya musoma.
Sorry nimekosea ni mwisenge sio kamunyonge...nimechanganya...nimetoka kitambo ila shule naijua ilipo kama unaelekea majita karibu na ile hotel nzuri sana ya musoma.
Usipende kusema usiyoyajua,si kweli kwamba kama unaelekea majita ndo utakutana na mwisenge primary,but ni kweli ipo karibu na musoma hotel & pennusla hotel.