Unahitaji Programu ya kompyuta ya kutunza kumbukumbu

Unahitaji Programu ya kompyuta ya kutunza kumbukumbu

Tech Max

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2025
Posts
337
Reaction score
308
Je unahitaji programu ya kompyuta (Windows OS 7,8,10,11) ya kutunza kumbukumbu ya bidhaa, wateja na kazi zingine za kumbukumbu. Gharama ya programu hii ni 250,000 Tsh. Unalipia mara moja tu, hakuna malipo baada ya hapo.

Napatikana: Mkoa wa Dar es salaam, Mbezi.

Mawasiliano: 0756704145
 
Tunaomba sample tutesti,
Njoo tuonane nikuonyeshe kwenye PC yangu au naweza kukutumia video jinsi inavyofanya kazi, ipi unachagua nikutumie video WhatsApp au tuonane uione?
 
Njoo tuonane nikuonyeshe kwenye PC yangu au naweza kukutumia video jinsi inavyofanya kazi, ipi unachagua nikutumie video WhatsApp au tuonane uione?
Hayo yote ungeyaweka kwenye tangazo kila mtu ajionee
 
Siyo kama umetumwa na Sa100 utuscan kisha muanze kututafuta nje ya ulingo kweli mkuu wangu?

Ila naona kama ungeliituma samples hapa hapa ili mtu akivutiwa ajue namna mtakavyouziana.

Mimi nahitaji yenye mfumo wa kibank ,yaani watu wawe wanakutana majibu ya maswali yao .

Kuona kiwango cha mkopo na makato yake .

Kuona balance zao hata wakiwa chumbani kwao .

Kuomba na kupokea mkopo kwa njia ya online .

Mfumo uwe na uwezo wakuhakiki taarifa hata nikiwa usingizini.
 
Siyo kama umetumwa na Sa100 utuscan kisha muanze kututafuta nje ya ulingo kweli mkuu wangu?

Ila naona kama ungeliituma samples hapa hapa ili mtu akivutiwa ajue namna mtakavyouziana.

Mimi nahitaji yenye mfumo wa kibank ,yaani watu wawe wanakutana majibu ya maswali yao .

Kuona kiwango cha mkopo na makato yake .

Kuona balance zao hata wakiwa chumbani kwao .

Kuomba na kupokea mkopo kwa njia ya online .

Mfumo uwe na uwezo wakuhakiki taarifa hata nikiwa usingizini.
Sample kama unataka nakutumia video au tunaweza onana Mbezi stendi nikakuonyesha, ipi we unataka?
 
Back
Top Bottom