maneka JF-Expert Member Jul 30, 2015 816 1,161 Jun 12, 2017 #2 Dhahabu iliyoibiwa ina ukubwa wa hivi!
N NAKWEDE JF-Expert Member Aug 1, 2007 27,971 35,113 Jun 12, 2017 #3 Hii report mzee wameonekana kama kunitaja, lakini walaahi simo, simo kabisa mkuu wangu. Nakushauri kabla ya kunikaba hebu jaribu pia kumbana "mtangulizi wako" maana nilikuwa napokea maelekezo kutoka kwake. Chonde chonde poti
Hii report mzee wameonekana kama kunitaja, lakini walaahi simo, simo kabisa mkuu wangu. Nakushauri kabla ya kunikaba hebu jaribu pia kumbana "mtangulizi wako" maana nilikuwa napokea maelekezo kutoka kwake. Chonde chonde poti
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,991 69,387 Jun 12, 2017 #4 Mkuu embu angalia namna ya kunikaushia nisiabike ndugu yangu
APEFACE JF-Expert Member Oct 1, 2016 5,049 8,631 Jun 12, 2017 #5 Nipe hiyo wizara ya madini mkuu nina uzoefu nayo sitakuangusha............
Mudhyd JF-Expert Member Jul 17, 2013 492 507 Jun 12, 2017 #6 alafu inaonekan kama kinachosemwa hata hakimuingii mkuu akilini bali anasikiliza tuu!!!!