Unahisi anamwambiaje

Ng'egera

JF-Expert Member
Jun 12, 2013
766
419
fae4c2c2dc4c91b82efb06a5d3a1786f.jpg
 
Hii report mzee wameonekana kama kunitaja, lakini walaahi simo, simo kabisa mkuu wangu. Nakushauri kabla ya kunikaba hebu jaribu pia kumbana "mtangulizi wako" maana nilikuwa napokea maelekezo kutoka kwake.
Chonde chonde poti
 
Nipe hiyo wizara ya madini mkuu nina uzoefu nayo sitakuangusha............
 
alafu inaonekan kama kinachosemwa hata hakimuingii mkuu akilini bali anasikiliza tuu!!!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom