Unafiki wa wazanzibar

Waheshimiwa iwe itakavyokuwa; bado tatizo langu lipo palepale kwanini Wazanzibar hupenda kulalamika sana bila kuangalia ukweli halisi? Bado naamini na najua kwamba TFF (na michezo kwa ujumla wake) sio suala la Muungano sasa TFF inazoroteshaje Soka la Wazenj? Ukiondoa FEDHA TOKA FIFA kipi kingine Wazenj wanataka Bara- TFF imlipie gharama maximo kwwenda Zenj kutafuta vipaji! nini kazi ya ZFA.

Ni kwanini ndugu zangu Wazenj mnauhusudu huu msemo "CHAKO CHETU NA CHANGU CHANGU"? Nadhani wakati sasa umefika kuyaweka mambo sawa kama kuna ulazima wa kuwa na SMZ (au muungano kabisa- siipendi hii).

Aidha nasikitika bado Wazenj hamjanishawishi hadi niweze kuomba radhi na kulifuta neno WANAFIKI. Hivyo bado nimesimama na mawazo yangu hadi hapo baadaye.

Kuomba au kutoomba radhi inategemea uungwana wako. Kama si Muungwana tutakuelewa tu. Wakati ZFA itakapofika zamu yake ya kuiwakilisha Tanzania katika FIFA basi kocha hata awe Abdulghan Msoma atakwenda hadi Kibondo na Sengerema kutafuta vipaji huko na tutatumia vi-dola kutoka FIFA kwa kuendeleza kandanda katika eneo lote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo tutategemea kuiona TFF ikaa bench bila ya malalamiko.
 
Back
Top Bottom