Unafiki wa Polepole na ukweli kuhusu MCC

Unafiki wa Polepole na ukweli kuhusu MCC

Polepole anajitoa ufahamu kwa tamaa ya madaraka, anataka kupata wadhifa kwa style ya makonda. Anajua sana asemacho si sahihi ila njaa yakutaka madaraka inamfanya awe changudoa wa siasa.
Inasikitisha sana.Siu hizi ndugu Polepole anafikiria polepole SANA!
 
Polepole anadai MCC ni huru na maamuzi ya serikali ya Marekani, anadhani inaweza hata kuwapa msaada Al Qaeda na ISIS?
Huyu jamaa chizi
 
Back
Top Bottom