Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,269
- 8,805
Katika kuhalalisha Machafuko na uvamizi ( Mapinduzi) kwa Zanzibar imekuwa ni kawaida kwa viongozi wa Serikali ya CCM na baadhi ya viongozi wa makanisa , kulaumu usultani na Sultani mwenyewe wa Zanzibar kwa dhuluma na shida walizofanyiwa wananchi hasa waafrika na huyu Sultani.
Hata Waziri Lukuvi alipokuwa kanisani alitoa matamshi ya kumpinga Sultani na uislamu.
Ningependa kwa faida ya vizazi vijavyo , Serikali ya CCM na hayo makanisa yanayojifanya kulaumu usultani , waorodheshe machafu yaliyofanywa na huyu Sultani Jemshid na kuyapeleka ICC , ili kumshitaki. Hapo tutaona ukweli uko wapi.
Sultani bado yuhai na anaishi Uingereza'
Isiwe ni njia ya kudanganyana na kuletewa propaganda zisizo na mashiko katika kuziba machafu yaliyofanywa na yanayofanywa na hizi tawala za CCM
Hata Waziri Lukuvi alipokuwa kanisani alitoa matamshi ya kumpinga Sultani na uislamu.
Ningependa kwa faida ya vizazi vijavyo , Serikali ya CCM na hayo makanisa yanayojifanya kulaumu usultani , waorodheshe machafu yaliyofanywa na huyu Sultani Jemshid na kuyapeleka ICC , ili kumshitaki. Hapo tutaona ukweli uko wapi.
Sultani bado yuhai na anaishi Uingereza'
Isiwe ni njia ya kudanganyana na kuletewa propaganda zisizo na mashiko katika kuziba machafu yaliyofanywa na yanayofanywa na hizi tawala za CCM