Mimi nawashangaa baadhi ya watu wanaosema huyu jamaa ni mtendaji mzuri,.mara sio fisadi. hakuna kitu ni mnafiki tu
ANASHINDWAJE KUSIMAMIA SHERIA ILI waliojenga majengo TANESCO Mikocheni hadi Mayfair plaza wayabomoe ili maji yaendelee kwenda baharini yani hili eneo mvua kidogo tu maji yanajaa barabara yote ila cha ajabu Magufuli hata tu kuongelea hili swala hata mara 1 anaogopa wenye pesa ila angekuwa kajenga maskini hapo angebomolewa na kutolewa maneno ya kejeli si hapo tu yapo maeneo mengi yenye kero kama hiyo ila huyu bwana anayaogopa.
ANASHINDWAJE KUSIMAMIA SHERIA ILI waliojenga majengo TANESCO Mikocheni hadi Mayfair plaza wayabomoe ili maji yaendelee kwenda baharini yani hili eneo mvua kidogo tu maji yanajaa barabara yote ila cha ajabu Magufuli hata tu kuongelea hili swala hata mara 1 anaogopa wenye pesa ila angekuwa kajenga maskini hapo angebomolewa na kutolewa maneno ya kejeli si hapo tu yapo maeneo mengi yenye kero kama hiyo ila huyu bwana anayaogopa.