Mgombea Ubunge Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo ameongoza tukio la wagombea wa CCM kupiga magoti mbele ya wananchi kuomba kura Jimbo la Muleba, akiwemo Mgombea Udiwani wa Kata ya Muleba, Alipoenda kuzindua Kampeni Kata ya Muleba Mjini.
Tukio hilo llilenga kuomba kura kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea Ubunge Jimbo la Muleba Kusini Dkt.Kikoyo, Mgombea Udiwani Kata ya Muleba pamoja na wagombea wengine wa CCM katika uchaguzi unaotarajiwa Oktoba 29
Kitendo hicho kimeonesha unyenyekevu wa wagombea na mshikamano wa viongozi kuhakikisha maendeleo endelevu na amani katika majimbo yote.