Siku nyingine na wewe uwe unampigia na yeye simu kumuomba hizo hela,unamwambia una shida,
Hapo ataelewa tu,
Dont live to impress others,live ur life.
Kama unamsaidia,msaidie tu bila kulalamika,kama unaona ni kero kumsaidia acha,simple tu,maisha ni yako,usijitese.