Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
Hizi post zako zingekuwa za msaada sana ikiwa huo usumbufu ungeuweka wazi. Umesema hizo network marketing zina usumbufu na ufuatiliaji pia, ikiwa wewe ni mshauri mzuri eleza huo usumbufu ili mtu anahitaji kujiunga ajue kama ataumudu au la. Eleza pia, ili mtu anaanze kunufaika na hiyo network inabidi awe-promote wangapi. Hapo ndo dhana ya upatu inaingia.
Anyway, kuhusu kuigana kibiashara Mengi na Bakhresa mbona iko wazi. Huyu ana coca cola huyu ana azam cola, huyu ana maji kilimanjaro yule ana maji uhai, huyu ana ITV yule ana azam tv. n.k.,
Unfortunately sina muda kubishana na ujinga wako. I'm used to ignorant people of ur type. Watakuja wengine kuendeleza mada.