View attachment 167751 katika uchunguzi uliofanyika kwa kupitia mbali mbali na hata historia za marais mbali mbali katika mataifa mbalimbali imethibitika kwamba,rais mstahafu wa awamu ya pili wa tanzania ndugu ali hassani mwinyi ndie rais pekee duniani alieweza kushika kiti iko katika nchi mbili tofauti kwani aliweza kushika kiti iko kama rais wa nzanzibar na alipostahafu aliweza kuja tanzania bara na kugombea na kupata kiti iko kama rais, kwani hamna kwa tanzania mtu aliefanya hivyo hata duniani kwa ujumla haya ni maajabu ya dunia ktk siasa ongera mwinyi