mohana
New Member
- Nov 7, 2021
- 3
- 14
Kama una huitaji na mke bado nipo
Vigezo
Miaka 30-35
Dini yoyote
Mrefu kiasi (maji ya kunde au mweupe)
Umbo la kati sio mnene Wala mwemba
Mtoto asizidi mmoja
Asiwe ameachika
Awe anapenda tendo la ndoa Sana ( mashine ya kushiba awe nayo)
Awe na mahaba sio kuongea kama muuza mitumba
Mtafutaji pia ,sio mzembe mzembe
Mengine tutaongea pm
Vigezo
Miaka 30-35
Dini yoyote
Mrefu kiasi (maji ya kunde au mweupe)
Umbo la kati sio mnene Wala mwemba
Mtoto asizidi mmoja
Asiwe ameachika
Awe anapenda tendo la ndoa Sana ( mashine ya kushiba awe nayo)
Awe na mahaba sio kuongea kama muuza mitumba
Mtafutaji pia ,sio mzembe mzembe
Mengine tutaongea pm