Unadhani hawa kwa pamoja wamepatwa na nini?

Deadbody

JF-Expert Member
May 30, 2015
4,274
6,594
upload_2017-5-13_15-31-1.png
 
Iko mahali walienda kushambulia kwa style hiyo kisa dem anatoka na mume wa mmoja wao.,masela na madem wa kitaa wakaamua kumtetea mwenzao wa kitaa asipigwe na wakuja.,'kulichimbika',wakuja wakaondoka na manundu yao huku wakisahau hata vitenge vyao walivyokuwa wamefunga 'kibwebwe' na kupoteza cm nk.
Kwenda wakaenda muamshia mume 'kirambasi' cha kufa mtu wakidai wamepigwa na king'ast chake.
Msela kuangalia mama alivyoumka akatoka na jazba akaenda chinja nyumba ndogo.,kurudi kumhadithia wife,wife akajua kimenuka,akakacha.
Mshkaji tm hizi ananyea ndoo akikabiliwa na murdercase.
 
sio wanasubiri pogba aibuke wampe block za uso? kuuziwa mbuzi kwenye junia mchezo!
 
Back
Top Bottom