Yawezekana wewe ukawa una mwanga kidogo mimi ndo niko gizan kabisa,Sijaelewa jaman!!!!
Kwani huyo jirani ni wa kike au wa kiume? na mke aliambiwa ajiandae na nini wkt mumewe karudi,hebu fafanua vizuri kama sijaelewa hiviHabari wadau? Kuna rafiki yangu anaendesha malori ya mafuta kwenda congo niko nae analalamika kuhusu jirani yake ambae ni 40's, ambae amemuuliza mke wake huyu rafiki yangu kama jamaa amerudi kutoka congo, alipojibiwa karudi akamwambia "ajiandae usiku wa leo, maana jamaa ana ugumu wa mwezi", mke kamwambia jamaa, jamaa kamaindi sana. Kauli hiyo mnaichukuliaje?
Habari wadau? Kuna rafiki yangu anaendesha malori ya mafuta kwenda congo niko nae analalamika kuhusu jirani yake ambae ni 40's, ambae amemuuliza mke wake huyu rafiki yangu kama jamaa amerudi kutoka congo, alipojibiwa karudi akamwambia "ajiandae usiku wa leo, maana jamaa ana ugumu wa mwezi", mke kamwambia jamaa, jamaa kamaindi sana. Kauli hiyo mnaichukuliaje?