Unachukuliaje kauli hii

Unachukuliaje kauli hii

mtengwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
1,603
Reaction score
871
Habari wadau? Kuna rafiki yangu anaendesha malori ya mafuta kwenda congo niko nae analalamika kuhusu jirani yake ambae ni 40's, ambae amemuuliza mke wake huyu rafiki yangu kama jamaa amerudi kutoka congo, alipojibiwa karudi akamwambia "ajiandae usiku wa leo, maana jamaa ana ugumu wa mwezi", mke kamwambia jamaa, jamaa kamaindi sana. Kauli hiyo mnaichukuliaje?
 
is this great thinker thread!!!!!????????
:A S 39:
 
Kwanini amwmbie usiku na si mchana
 
me rafiki yangu ameniuliza 'utaondoka na shemeji? Nawaza kumwotesha pumbu la tatu shit!!!
 
Kwahiyo ukweli asiambiwe?

Au ndo yaleeeee wasemayo wahenga yakwamba "ukweli unauma".
 
Kwahiyo ukweli asiambiwe?

Au ndo yaleeeee wasemayo wahenga yakwamba "ukweli unauma".

ukweli si angemuambia jamaa mwenyewe, anaenda kumwambia mkewe kwa kigezo cha utani lakini akifikisha ujumbe
 
me rafiki yangu ameniuliza 'utaondoka na shemeji? Nawaza kumwotesha pumbu la tatu shit!!!

watu wengine wana masihara hata kwenye uhusiano wa wenzao, me utani dizain hii si u entertain kabisa
 
Nilishawahi pia kumwambia mke wa mwanajeshi aliyetoka darfur...na akamwambia,nafikir unaelewa kilichofuata....niulize tukionana!

Sent from my BlackBerry 9900
 
Back
Top Bottom